Mheshimiwa alitangaza shule mbili kwa ajili ya wanafunzi wa masomo ya sayansi na hisabati ili kuzalisha wanafunzi watakao jiunga na vyuo vikuu kusomea maswala ya gesi na mafuta, shule hizo ni zipi kwa majina?, na wameanza kupokea wanafunzi?. naomba anayejua anifahamishe tujenge elimu kupitia...
asante sana kwa kunijulisha swali langu la mwanzo!pia napenda ulizia pale DIT tofauti ipo kati ya wale wanaochaguliwa na baraza moja kwa moja na wale wa kuomba wenyewe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.