Recent content by mcmwani

  1. mcmwani

    Stopper Rhymaker Yokoi & Joslin hamjielewi

    We nae kwa kutunga visa hujambo...unaonekana umedhamiria kutenda dhambi kwa kuongea stori ya ukweli na majina ya ukweli alafu ukaweka uongo mtakatifu ndani yake....kifupi nimekuelewa sana nia yako na mwanzo mlidai mvuta bangi now umebadilika endelea na dhamira yako kaka Mungu atakusaidia. Now...
  2. mcmwani

    Stopper Rhymaker Yokoi & Joslin hamjielewi

    We nae kwa kutunga visa hujambo...unaonekana umedhamiria kutenda dhambi kwa kuongea stori ya ukweli na majina ya ukweli alafu ukaweka uongo mtakatifu ndani yake....kifupi nimekuelewa sana nia yako na mwanzo mlidai mvuta bangi now umebadilika endelea na dhamira yako kaka Mungu atakusaidia. Now...
  3. mcmwani

    Stopper Rhymaker Yokoi & Joslin hamjielewi

    Eti mchizi akitapika ndiyo pf,,unauliza nini sasa we unatuma matukio ya stoper kwenye jamii forum kwani yeye anayaona,,au kama ungekuwa una nia nae nzuri siungempigia simu,,alafu isitoshe kama ww unania nae nzuri mbona huweki jina lako ukajulikana wewe nani,,mimi jina langu ndiyo hilo natumia...
  4. mcmwani

    Stopper Rhymaker Yokoi & Joslin hamjielewi

    Wewe kama umemaliza skul una miaka 40,ni ww sio wengi wenu maisha mmeandaliwa na mama zenu.
  5. mcmwani

    Stopper Rhymaker Yokoi & Joslin hamjielewi

    Hao waturu mbona Stopa kawasaidia sana Hata huyo mnaemtaja Videdevi kama b.s. stopa asingekua kaka mzuri kwao asingefika huko...mbona yeye ndio anatumia kila aina ya kilevi na ushenzi wote anao?acheni maisha yaende mtarekebika kauli zenu tu siku moja,Elimu ipo tu na hamjui Stopa yupo hapo na...
  6. mcmwani

    Stopper Rhymaker Yokoi & Joslin hamjielewi

    Kwanza wekeni majina yenu ya kawaida tuwajue maana baadhi yenu nshawajua wachawi tu makabila yenu yanaruhusu ushoga,kifupi mafanikio ya mchizi yatawanyoosha kauli zenu,msibadilike tu baadae
  7. mcmwani

    Stopper Rhymaker Yokoi & Joslin hamjielewi

    Kila mtu ana maisha yake bana,,ww unataka mchizi akasome upo tayari kumlipia ada na kuilea familia yake,,au unaongea tu maisha unadhani ni ya majaribio au sio,,ni wangapi unaowajua wamesoma na wanayumba tu town hapa,,maisha yanasonga sana tunatakiwa kuangalia mbele ni vipi tutaweza kupambana na...
  8. mcmwani

    Stopper Rhymaker Yokoi & Joslin hamjielewi

    Watu wote mlio comment hapo mnaonekana mnabeef na. mchizi mnajifanya mnamfahamu shkaji lakini naona kama wote hadi mtoa mada kama bibi zenu wanga kaka zenu mashoga lakini hatusemi,eti stopa anavuta bangi au mlevi Kweli mtahukumiwa vibaya sana nanyi kwa unafiki na chuki zenu za kichawi,mwacheni...
Back
Top Bottom