Maisha ya Zanzibar yapoje katika sector ya utalii, mim ni guide najua lugha kama English Kijerumani na Spanish, nianzie wapi kwaajili yakupata fursa Zanzibar?
nawashauri vijana wenzangu mnaotafuta fursa nje ya nchi mchangamkie hii fursa yakujifunza kijerumani,mtakuja kumshukuru mwalim badae mimi nilishaaanza kusoma kwake kupitia bandiko lake hapa lamwanzo kbsa,nampaka sasa channel zangu zakwenda abroad zimefunga zaid kwakukutana na watu wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.