Peoples ! Power,
Chadema imepata viongozi wake waliochaguliwa kikatiba katika kata ya sekei tarehe 20/07/2014. viongozi waliochaguliwa wataongoza kata ya sekei kwa kipindi cha miaka mitano. Pictures below zinaonyesha wagombea waliochaguliwa pamajo na viongozi wa matawi na misingi...
Jk hajakosea, Zanzibar hawachangii chochote kwenye uendeshaji wa gharama za muungano. Hata mabalozi wazanzibari wanatumia kodi za watanganyika tuu no sent from Zanzibar hivyo waache kulalamika kwani hawawezi gharamia Hata ubalozi mdogo Rwanda. Kupe wamezidi kutunyonya watanganyika
Mkuu asiyekuelewa basi , Hakuna sababu mawaziri na baadhi ya viongozi wa serekali kutibiwa nje ya nchi kwa kodi zetu. Wangeboresha hospital zetu wote tupate tiba bora. Haiwezekani mlipa kodi apate tiba mbovu then waziri ambaye hakatwi PAYE apate tiba bora Kwa kodi ya mlalahoi. Vivyo hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.