Recent content by mchina_m

  1. M

    DOKEZO Kucheleweshwa Kwa malipo ya tumbaku kati ya wakulima na MAGEFA limited

    Mimi ni mkulima wa tumbaku wilayan Kakonko, Kigoma. Msimu wa mwaka 2024/2025 tulikuwa na mkataba na MAGEFA GROWERS LIMITED ambapo masoko yote matatu yaliisha mwezi wa sita na ilitakiwa tulipwe pesa ndani ya siku kumi na nne(wiki mbili), lakini Hadi Leo hii hamna malipo yaliyofanyika Tukijaribu...
Back
Top Bottom