Recent content by Mchimwachimego

  1. M

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa wasifu wa Mhe. Thomas Simba, Hakimu wa Mahakama ya Kisutu

    Ni Mchaga wa machame hayo mengine siyajuhi.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Tanzania imeamuru Jamhuri kurudisha fedha za faini za kesi ya Freeman Mbowe na wenzake 7 wa CHADEMA

    Hajaacha legancy yenye uelekeo wako kaacha vitu ambavyo vinaonekana kwa macho .
  3. M

    JamiiForums Tanzania Milioni 350 za faini ya kina Mbowe zinazorudishwa na mahakama unashauri zifanye kazi gani?

    Wakajenge ofisi kuu waondoe kile choo
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Tanzania imeamuru Jamhuri kurudisha fedha za faini za kesi ya Freeman Mbowe na wenzake 7 wa CHADEMA

    Wewe pamoja na wajinga wenzio ndio hamutambui kuwa kulikuwa hakuna mahakama ,kama kesi ilikatiwa rufaa kuna maajabu gani? Hiyo ndio kesi ya kwanza kukatiwa rufaa na kushinda na kwa kutojitambua kwenu mnashindwa kuwa na kumbukumbu kuwa jaji aliyeukumu nitofauti na aliyetoa ushindi ndio maana...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Tanzania imeamuru Jamhuri kurudisha fedha za faini za kesi ya Freeman Mbowe na wenzake 7 wa CHADEMA

    Hakuna dhuluma ni dhama za kila mtu mwenye uwezo achukue anachoweza kuongoza,nchi sio kama familia hasa katika nchi yenye makabila 120 majaji wakiwemo ,ndio maana kesi zote tanzania ulizokuwa tunashtakiwa kimataifa kabla jpm tulishindwa lakini baada ya yeye kuja huo ujinga ulikoma na sasa...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Tanzania imeamuru Jamhuri kurudisha fedha za faini za kesi ya Freeman Mbowe na wenzake 7 wa CHADEMA

    Hutujisikii vibaya kwa sababu kila ufalme na zama zake.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama Kuu Tanzania imeamuru Jamhuri kurudisha fedha za faini za kesi ya Freeman Mbowe na wenzake 7 wa CHADEMA

    Nyie hamna akili kabisa watu kama walikata rufaa unashangaaje kushinda ,na kwa mtindo huu mama anaokwenda nao kuna uwezekano ata acaccia watafungua kesi kudai fidia maana katika kuwapa watu haki kuna maslahi binafsi ya watu.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

    Ujitambui wewe, malengo makuu ya music (1)Ajila (2)burudani (1)kuelimisha yeye amechagua muziki kuwa ni ajila.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

    Hayo mambo tulishayaacha huko zamani sasa hivi music,michezo ni biashara hivyo diamond, music unamalengo makuu matatu kuelimisha,kuburudisha na ajila sasa mtu ukichagua music kama ajila kuna ubaya gani? , wakina roma na ney wamechagua music wa uhanaharakati na kuelimisha kwani kuna ubaya...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

    Tundulisu si mungu wala malaika kwamba kila hoja yake iwe ya kusapotiwa na kila mtu,kama yeye alivyotembea nchi yote kuomba kura na ndivyo diamond anayo haki kuomba kura, na hoja ya kwamba analazimisha na uzalendo imetokana na baadhi ya wenye chuki na diamond kusema hawatompigia kura ndipo hao...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

    Weka clip aliyowalazimisha watu kupiga kura,na ndio maana nawaeleza kuwa mumedandia gari kwa mbele kigogo alitoa mtazamo wake na msimamo kuwa diamond anausapoti utawala hivyo atapiga kampeni kumpinga na kumpigia kura burna na ndipo mjadala ulipoanzia mpaka watu wakaanza kuhoji kwa nini kigogo...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

    Yeye aliomba kura kwa watanzania na AkumlaImisha mtu aliyewafanya chadema wadandie gari kwa mbele ni kigogo ,watanzania walio wengi hawawezizi kuwa wajinga kama chadema lialia hivi mtu anayeijua siasa utachukia fulani kuwa chadema au tlp au act, nyie wajinga muziki ni burudani uwe chadema...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

    Siasa za kukurupuka ndio madhara yake hayo hamjui kuwa ni haki yake kushabikia chama anachokipenda,mbona kawaida sana nyie vieleele itawaponza kwanza muziki wake na siasa wapi na wapi.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

    Tafuteni kiini cha hayo yote ni kigogo sasa nyie mnarukia gari kwa mbele na kigogo alieleza bayana kwamba kwa sababau anashabikia ccm sasa kumbe mnataka kila MTU awafuate nyie kwani nyie ni nani.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu, vita na Wasafi hutoiweza, utagalagazwa wewe na chama chako

    Hivi ni nani amewalazimisha chadema kumpigia kura diamond nyie mumerukia gari kwa mbele baada ya kumuona kigogo katoa msimamo wake, yeye ameomba kura kwa watanzania na si kwa chadema wala lisu mbwa nyie
Back
Top Bottom