St. Joseph ni chuo kipya na Campus mpya kabisa. usipotoshe watu wewe kama hutaki kukiomba kaa kimya waache wenye uchungu na shule wakasome acha kukariri wewe
Wadau Heshima kwenu wote. TCU wameachia second round application rasmi leo kwa Tangazo hili hapa http://www.tcu.go.tz/images/pdf/2nd%20round%20application%202015.pdf pakua hilo tangazo uweze kuona maekezo zaidi.
kama umekosa round ya kwanza ujue umekosa kutokana na ushindani hivo unatakiwa...
Acha hasira na matusi kijana. Bishana kwa hoja. IMTU clinical rotation zao wanafanyia Muhimbili na mwananyamala na kwingine kwa taarifa yako. Kale ka hospitali kao hakatoshi kuwamudu wanafunzi wote.
Bishana kwa hoja na thibitisha hapa kuwa unaweza kujenga hoja zenye mashiko
Mkuu mm nakubaliana na hoja yako. Hapa ni siasa tu na fitina ndo zinatawala. Haya mabaraza ndo chanzo cha yote ukifatilia vizuri mwanzo kbsa mwa huo mgogoro bodi ya famasia ilipinga kuwa haitambui chuo lakin baadae chuo kikaotoa barua ya usajili inaipongeza kiu kwa kuanzisha program za afya TZ...
Kilikuu hebu thibitisha hoja zako hapa mbele za wadau unachokidai kuwa chuo hakijasajiliwa na bodi husika. Juzi walipoandamana Katibu mtendaji wa TCU aliwajibu wazi kabsa kuwa chuo kinatambulika na bodi zote akataja Pharmacy bod, medical council na lab bod pia. Sidhan kama yule Professor na...
Acheni kuongea vitu msivokuwa na uhakika navyo. Mkiambiwa mthibitishe kuwa chuo hakijasajiliwa na hakitambuliwi mtajibu? Vielelezo mnavo? Au kwa kuwa mnasikia tu watu wanasema ooh KIU hakijasajiliwa mara hakitambuliwi...fanyeni utafiti kwanza mjue.
Chuo kimesajiiliwa na kina Certificate of...
Mkuu habari,
Kwa hizo poits unaweza kuomba Bsc Education ukamajor kwenye bilogy na Agriculture. unaweza pia kusoma kozi za SUA ambazo zinataka requirement ya Agriculture ambayo una D=2, na Biology ambayo una D=2 jumla point 4 ukiongeza na hiyo E ya Chemia una = 4.5points. jumlisha na GS au BAM...
Habari mkuu,
Hiyo kozi ya maungo ya binadamu inaitwa Prosthetics and Orthotics ni nzuri sana ila vijana hawaipendi sana bt ina hela sana. Huyo mdogo wako nashauri aweke MD- UDSM, MD MUHAS, MD- CUHAS na MD- KCMC. kwa nature ya ushindani kwa hizo points za BBB+ ana jumla ya points 10 ukijumlisha...
Mkuu minimum admission point za TCU ni 2points yani 2 principal passes minimum 2 E's (E E) kwa waliomaliza 1988 hadi 2013.
Na minimum 2 points yani 2 passes minimum 2 D's (D D) kwa waliomaliza 2014 kuendelea hadi wa mwaka huu 2015.
Kiwango cha chini cha kuingia chuo kikuu kwa viwango vya TCU...
Marcopolo hatuko hapa kwa ajili ya kubishana na kupotosha umma. Tupo kuelimisha wadogo zetu. Huo mfano nilioutoa hapo juu unafafanua jinsi grade zinavohesabiwa. Acha kupotosha watu kuwa GS na BAM ni 2pts hicho kitu hakipo. BAM na GS ni 0.5 na inahesabiwa moja tu ndugu yangu acha ubishi kwa kitu...
Ndugu hebu fuata mfano huu hapa
OLD GRADING SYSTEM KWA WALIOMALIZA 1988 - 2013
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
NEW GRADING SYSTEM WALIOMALIZA 2014 - KUENDELEA (BRN)
A=5
B+=4
B=3
C=2
D=1
E=0.5
F=0
1. kama umefanya PCB mfano umemaliza 2013 kurudi nyuma umepata Phy- C , Chemistry - C , BIOS - C hapa una...
Mdau habari,
tafadhali soma hapa http://www.tcu.go.tz/images/pdf/Call%20for%20Application%20form%206_2015.pdf kisha soma hapa pia http://www.tcu.go.tz/images/pdf/How%20to%20apply%20NTA6_2015.pdf kwa maelekezo zaidi ya kuomba kupitia NACTE. wenye sifa za Diploma wote wanaomba kupitia NACTE na...
Mkuu nakubaliana na mawazo yako ila naomba nikurekebishe kidogo.
1. Mwanafunzi anapochagua chuo anapewa nafasi tano (5 Choices) za kuchagua chuo au kozi anazotaka kusoma
2. TCU haimpangii mwanafunzi chuo au kozi nje ya zile 5 selections za mwanafunzi alizojaza kwenye profile yake kupitia CAS
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.