Nashuku saaana tena saaana kwa ushauri wako mkuu naiman nitaufanyia kazi kuanzia ivi sasa na juu yaa kuulizwa katika interview unaswali? Ni kweli nimekutana nalo saana ili swali mwisho wa mahojiano mala ya mwisho nkumbuka ilikua arusha, nikawajibu sina swali.
Samahani mkuu naomba kuuliza jinsi ya kutuma kwani ukifika hapa kwenye e_mail page cv na vyeti na barua unatuma attach kwenye subject apa au kwenye compose email hapa, tafadhar naomba muongozo mkuu
Naomba tu ushauri wa bure, huenda ukanipa mwanga. Mie yaani hadi leo hii nina interview more than ten Tanesco na kuna zingine najua kabisa hizi nimejibu well ila sijawahi hata kukosewa kuitwa kua nimepata na sifa wanazozitakaga nakuwa nazo.
Ninaabahati ya kuitwa kwa usaili ila kupata kazi sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.