Recent content by Mchafuu

  1. Mchafuu

    Umekuwa ukisumbuliwa sana na mahusiano basi fata sheria hizi sheria ya 5 itakushangaza

    Hiyo hela ambayo unaniambia nitafute ni shilingi ngapi mkuu? Nikushauri tu wewe ndo utafute pesa kama Ubisha Leta Bank Statement hapa yako na mimi nilete yangu afu tunaone nani anatakiwa kumwambia mwenzake atafute hela
  2. Mchafuu

    Nampenda sana mke wangu lakini huu mchepuko nashidwa kabisa kuuacha

    Hivyo ndivyo watu wanamfanya Mkeo nao hawawezi kumuacha✌️
  3. Mchafuu

    Umekuwa ukisumbuliwa sana na mahusiano basi fata sheria hizi sheria ya 5 itakushangaza

    DATING RULE 01. Usimpe au kumfanyia mwanamke wako mambo makubwa ambayo hauwezi kumfanyia maisha yake yote au ku maintain moja kwa moja. Fanya yaliyo ndani ya uwezo wako utakayoweza kufanya hata ukimuoa. DATING RULE NUMBER 02. Mchumba akikukubali na akawa anakupenda kweli, kazi yake ni...
  4. Mchafuu

    Kijana ambaye unaingia kwenye mahusiano zingatia hili

    Mwanaume ukijitambua vizuri utagundua kuwa, Haitoshi kuamini unapendwa kwa kuambiwa au kwa text like "NAKUPENDA" Mwanaume hapendwi bali anaheshimiwa, Bro ukiheshimiwa utapenda tu Ndio maana we choose to marry mid girls with respect, hawa classy ladies tunatumia kama Path. Manzi akikuheshimu...
Back
Top Bottom