Nawasalimu wote naamini wote wazima,
Jamani mimi ninashida kubwa naombeni ushauri na so matusi wala kejili.Nimekuwa na mpenzi wangu kwa miezi tisa sasa ambaye nasoma naye chuo kimoja.
Tulikuwa tukipendana sana lakini miezi miwili tumekuwa na kutoelewana mara kwa mara.Amekuwa gafla tu anaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.