Recent content by Mc Charles Turuka

  1. Mc Charles Turuka

    Naomba msaada wa tiba ya homa ya ini

    Mkalapa naomba tuwasiliane tafadhali kaka private pls
  2. Mc Charles Turuka

    Naomba msaada wa tiba ya homa ya ini

    Nimekuelewa Kaka,Lakini Hivi kweli kwa hali Kama Hii mtu anapata wapi hata uwezo wa Kumtapeli mtu?
  3. Mc Charles Turuka

    Naomba msaada wa tiba ya homa ya ini

    TIBA YA HOMA YA INI NI IPI? Ndugu zangu, Wanajukwaa wenzangu Kuna Ndugu yangu amekuwa akisumbuliwa na Maumivu ya Mbavu za Kulia pamoja na Kukojoa Mkojo wenye rangi ya Kahawia na Kutokwa na Jasho Jingi wakati wa Usiku. Baada ya vipimo alionekana ana hepatitis B na Tayari ini limeshaanza...
  4. Mc Charles Turuka

    JINSI YA KUDELETE FACEBOOK ACCOUNT

    Unaweza kuifuta kabisa Akaunti ya facebook na hata isionekane kabisa! Ila zoezi hili hukamilika ndani ya masaa 72 toka ulipoifuta. Yaani ukiifuta unatakiwa ukae masaa 72 kabla hujajaribu kuingia tena naomba nikuelekeze!! Kwanza kifaa chako hakikisha kinatumia Browser aina ya Chrome au...
Back
Top Bottom