Recent content by Mbuvula

  1. M

    Msaada: Huu ni ugonjwa gani na tiba yake nini?

    Asante ndugu, na kweli mbu wananing'ata sana sababu huwa situmii net. Ngoja nijaribu majivu kupaka ndugu. Shukrani.
  2. M

    Msaada: Huu ni ugonjwa gani na tiba yake nini?

    Habari zenu wakuu, poleni na majukumu. huu ni ugonjwa gani umenipata, ilianza kama siku tatu zilizopita, naona mkono unaniwasha na jana na leo ghafla naona pamekuwa hivi na bado panawasha. Tamuona Doctor lakini kwa sasa nipo eneo ambalo hakuna daktari, angalau paache kuwasha tu na kuondoa hivo...
Back
Top Bottom