leo nimekupata vizuri sana, na nimetambua nia yako ya dhati kwa taifa letu hili hasa watu wa tabaka la kufuta jasho kwa kiganja cha mkono bila hata leso(handchif) kaka zito naomba operation hiyo uipeleke pande zote za inch hasa wilayani ili kila mtu atambu kwamba soon ataongezewa kodi lukuki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.