Recent content by Mbogi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Sheria siyo "hear say" ni uthibitisho wa tendo la mtu na siyo maneno. Kwamba ni umemwambia mtu kubwa kesho utakiona cha mtema kuni halafu bahati mbaya amekufa uje ufungwe bila ushahidi hakuna kitu kama hicho ktk sheria.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Mmeshaanza kuchanganyikiwa, Ni ninyi mliokuwa mnatapika humu kuwa mnao ushahidi wa kutosha wa kumtia hatiani na kwamba lazima Lissu afungwe ila naona Mapema mmeanza kuvurugwa na kutafuata "technicalities" hata ambazo hazipo. Mbaya zaidi mawakili wa serikali wengi vilaza kama ninyi. Chuma hii...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Hoja yako ilijibiwa vizuri kwa kukuelekeza kwenye sheria ambazo haziruhusu kufungua mashitaka mapya ya kosa hilohilo baada ya dpp kuyafuta au mtuhumiwa kushinda, ila wewe ukaongelea roho ya mauti. Mauti na mada vinahusiana nini kama siyo kuchanganyikiwa. Lakini nakukumbusha kuwa wewe ndiye...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Nimegundua kuwa sasa unaelekea kuchanganyikiwa maana sasa unatoa maneno hovyo hovyo hata yasiyohusiana na mada au ulichoulizwa. Ama kuhusu roho ya mauti, kwenu kuua ndiyo sifa yenu ya kishetani mnayoiona kama silaha kwa wananchi wanaotaka haki na katiba mpya hadi mkafikia kuua okt 29. Hakuna...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Wewe si ndiye uliyejiapiza kuwa lazima Lissu afie jela, mbona unaanza "mchecheto" Lakini pia nimegundua kuwa kumbe hata elimu ya vidudu juu ya sheria haujui huku akijifanya mwelevu. Kwa ufupi tu ni kwamba kama shauri/mashtaka yataamuriwa kwa hukumu ya ushindi au hata kwa dpp kuliondoa hakuna...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Huyo Mwenzao mmoja anayesemwa na Samia kwamba anaendelea kutafakari ni nani na anatokea Chama gani?

    Mbona umekuwa mkali hivi! imepenya hiyo!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Kumbe kelele zote za maigizo mnazomfanyia Heche ni kutafuta Kichaka ili Lissu akija kutoka mpate kisingizio kukwepa aibu.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mwanri kumuacha Mungu na kujiunga na Shetani jiandae kudhalilika

    Mwenyekiti akisema maneno ktk hotuba rasmi hiyo ni kauli ya chama, ila akiongea akiwa nyumbani kwake hayo ni maoni yake, hata hivyo bado hata kama M/kiti. akiongelakiwa nyumbani bado ni vigumu kumtenganisha na kauli ya chama.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mwanri kumuacha Mungu na kujiunga na Shetani jiandae kudhalilika

    Haya maswali ya kitoto, kwani haujui kuwa msemaji mkuu wa chama ni mwenyekiti!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mwanri kumuacha Mungu na kujiunga na Shetani jiandae kudhalilika

    Haukumsikia mwenyekiti wa chama akisifia kazi nzuri ya mauaji kwamba walistahili kuuawa.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mwanri kumuacha Mungu na kujiunga na Shetani jiandae kudhalilika

    kwani aliyesema kuwa waliouawa walipata haki yao ni mwenyekiti wa chama gani kama siyo CCM.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Stephen Wasira awahurumia CHADEMA na kuwaasa wananchi cha kufanya ili wapate maendeleo

    Huyu Mzee pamoja na M/Miti wazazi ndio wanaomshauri vibaya M/kiti wa CCM kupuuza katiba na kuendelea kumshikilia Lissu. Hali ikitengamaa huyu mzee anaweza kuishi vibaya sana na familia yake maana tayari wananchi wameshawajua wanaochochea uovu na mifarakano ktk upande wa pili.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kauli za Nchimbi zaunganisha Taifa. Watanzania waunga mkono utekelezaji wa ilani ya CCM ya 2025

    Haya uliyoyaandika ya kuwaunga mkono watetezi wa haki za binadamu ktk kupigania haki na katiba mpya hayakuwa na si msimamo wako,chama chako wala serikali bali tu mmelazimika kwa kuwa sasa mmeona Wananchi wengi hawapo upande wenu. rejea kauli na hotuba za viongozi wengi wa chama juu ya haki...
Back
Top Bottom