Sheria siyo "hear say" ni uthibitisho wa tendo la mtu na siyo maneno.
Kwamba ni
umemwambia mtu kubwa kesho utakiona cha mtema kuni halafu bahati mbaya amekufa uje ufungwe bila ushahidi hakuna kitu kama hicho ktk sheria.
Mmeshaanza kuchanganyikiwa, Ni ninyi mliokuwa mnatapika humu kuwa mnao ushahidi wa kutosha wa kumtia hatiani na kwamba lazima Lissu afungwe ila naona Mapema mmeanza kuvurugwa na kutafuata "technicalities" hata ambazo hazipo.
Mbaya zaidi mawakili wa serikali wengi vilaza kama ninyi.
Chuma hii...
Hoja yako ilijibiwa vizuri kwa kukuelekeza kwenye sheria ambazo haziruhusu kufungua mashitaka mapya ya kosa hilohilo baada ya dpp kuyafuta au mtuhumiwa kushinda, ila wewe ukaongelea roho ya mauti.
Mauti na mada vinahusiana nini kama siyo kuchanganyikiwa.
Lakini nakukumbusha kuwa wewe ndiye...
Nimegundua kuwa sasa unaelekea kuchanganyikiwa maana sasa unatoa maneno hovyo hovyo hata yasiyohusiana na mada au ulichoulizwa.
Ama kuhusu roho ya mauti, kwenu kuua ndiyo sifa yenu ya kishetani mnayoiona kama silaha kwa wananchi wanaotaka haki na katiba mpya hadi mkafikia kuua okt 29.
Hakuna...
Wewe si ndiye uliyejiapiza kuwa lazima Lissu afie jela, mbona unaanza "mchecheto"
Lakini pia nimegundua kuwa kumbe hata elimu ya vidudu juu ya sheria haujui huku akijifanya mwelevu.
Kwa ufupi tu ni kwamba kama shauri/mashtaka yataamuriwa kwa hukumu ya ushindi au hata kwa dpp kuliondoa hakuna...
Mwenyekiti akisema maneno ktk hotuba rasmi hiyo ni kauli ya chama, ila akiongea akiwa nyumbani kwake hayo ni maoni yake, hata hivyo bado hata kama M/kiti. akiongelakiwa nyumbani bado ni vigumu kumtenganisha na kauli ya chama.
Huyu Mzee pamoja na M/Miti wazazi ndio wanaomshauri vibaya M/kiti wa CCM kupuuza katiba na kuendelea kumshikilia Lissu. Hali ikitengamaa huyu mzee anaweza kuishi vibaya sana na familia yake maana tayari wananchi wameshawajua wanaochochea uovu na mifarakano ktk upande wa pili.
Haya uliyoyaandika ya kuwaunga mkono watetezi wa haki za binadamu ktk kupigania haki na katiba mpya hayakuwa na si msimamo wako,chama chako wala serikali bali tu mmelazimika kwa kuwa sasa mmeona Wananchi wengi hawapo upande wenu. rejea kauli na hotuba za viongozi wengi wa chama juu ya haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.