Recent content by Mbogi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Tumefikaje hapa tulipo?

    Kazi nzuri umeifanya ya ku deal na mnafiki.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tumefikaje hapa tulipo?

    Umerukaruka kujificha weee! Mwisho umejiweka hadharani. Hongera kwa Kalamu kumfichua huyu mnafiki. Umeshindwa kujibu vipi kuhusu Samia?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Sikumuomba Samia nirudi nchini, Yeye ndiye aliyenitafuta wakati huo Mbowe yuko Gerezani

    Acha kujifanya unajua kubadili mada, hii ni akili ya mbuni kuficha kichwa ktk mchanga ili hali mwili wote uko nje. Ameeleza hili kujibu ninyi wajinga ambao mmekuwa mkipumbazwa kuwa Lissu aliomba hisani ya kurejea na kulipwa mafao, bali alijua kuwa ni haki yake kurudi nchini kwake na ni haki...
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lissu Inatakiwa Afunguliwe Mashtaka Mapya Kabisa na kufanya Uchunguzi Juu ya Kauli zake zilizotolewa Mwaka jana kabla ya Uchaguzi

    Hata kabla ya okt 29 mlikuwa mnatishia hivi hivi ila kilichotokea hamkuamini na ninyi ndiyo washauri wa ujinga kama huu. Kwa hakika kama huu ushauri wako wa kijinga ikifuatwa (na hauwezi kufuatwa) zaidi ya yale ya awali tuyatarajie. Usijidanganye kuwa eti yale mauaji yamewafanya waandamanaji...
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lissu Inatakiwa Afunguliwe Mashtaka Mapya Kabisa na kufanya Uchunguzi Juu ya Kauli zake zilizotolewa Mwaka jana kabla ya Uchaguzi

    Usitake nchi isambaratike! usione huu utulivu kidogo wa muda ukadhani kwamba wananchi wameogopa mauaji ya okt 29 kuandamana ni mkakati wa kuidhihitishia dunia na kuwapa nafasi serikali kujirekebisha. Ila nikuhakikishie hili unalosema likifuatwa nchi itashuhudia zaidi ya okt 29.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu atapewa" kesi ya kujibu

    Acha hasira hata kama "imepenya" Uamuzi utoke usitoke TAL atarudi uraiani very soon kuanzia sasa. Lililo zuri kwa wananchi TAL ameweza kuithibitishia dunia na wananchi namna CCM inavyogandamiza haki, demokrasia na hata katiba hii japo ni mbovu.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu atapewa" kesi ya kujibu

    Tafsiri ya maneno haya ya uasi ni nyumbufu mno kiasi cha kutoweza kumtia hatiani achilia mbali uwezekano wa kukubalika kama msingi wa kosa.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu atapewa" kesi ya kujibu

    Kauli tu ya kabla ya tukio la Oktoba 29 haiwezi kuwa na nguvu lakini pia haiwezi kuunganishwa na tukio la Oktoba 29, ndiyo maana hata ushahidi mpya dhidi ya Lissu ulikataliwa kupokelewa na mahakama. Labda tu kushinikizwe kuwa ana kesi ya kujibu ila si kwa uzito wa kauli hiyo.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu atapewa" kesi ya kujibu

    Ahsante! nimerekebisha nilikuwa sehemu isiyo na utulivu.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu atapewa" kesi ya kujibu

    Baada ya kukubaliana namna ya kuondoa kesi na ili isionekane kuwa serikali alimbambikia kesi "atapewa" kesi ya kujibu kisha muda mfupi baada ya kuanza utetezi ndipo DPP ataleta ile "taarifa". (Rejea kesi ya FEM) Hii itawapa faraja kubwa wahafidhina kuwa pamoja na serikali kutoendelea na kesi...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Kwa maana hiyo unataka kutuaminisha kwamba ni kweli hata wale askari waliokuwa wanalandalanda ktk mitaa na kuua waliopo nyumbani walikuwa wanalipa kisasi cha wanzanzibar waliouawa 2001? Vipi kumbe watu wanaposema wanzanzibar wanawaua watanganyika wako sahihi! na hauoni kuwa unahalalisha ile hoja...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Leo ni zamu ya shahidi wa 18 kesi ya lissu

    Na siyo shahidi wa 18 pekee, mawakili wa serikali waliahidi kuja na mashahidi wote waliobaki. Ngoja tuone kama watatekeleza ahadi yao hiyo. Kama ndivyo leo itakuwa ndiyo mwanzo wa mwisho wa Kesi.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Majibu Yangu Kwa Baraza La Maaskofu Katoliki TEC Na Padre Charles Kitima Juu Ya Hoja Ya Kuombana Msamaha kwa kile kilichotokea Uchaguzi Uliopita

    Tayari tume imeshapoteza kuaminika kwa sababu imeamrishwa kuacha kufanya uchunguzi kwa WALIOUA hoja inayokubalika kwa wananchi wengi. Kwa vyovyote itakavyotoa matokeo yatakuwa ya upande mmoja ambayo yataukuza mgogoro na pengine chuki kuongezeka.
Back
Top Bottom