Recent content by Mbogi

  1. M

    PostGE2025 ‘Mmiliki’ wa mabasi ya Esther: Kampuni imehusishwa kimakosa na wanasiasa. Walivamia na kuchukua fedha, tulipata hasara ya Bilioni 2.1

    Nanunua, msikilize vizuri anasema alianza mwanzo na hadi alipo sasa. Hakuna kampuni.
  2. M

    PostGE2025 ‘Mmiliki’ wa mabasi ya Esther: Kampuni imehusishwa kimakosa na wanasiasa. Walivamia na kuchukua fedha, tulipata hasara ya Bilioni 2.1

    Kampuni mali yako inakuwaje maelezo yake unayasoma kwenye karatasi! Ktk maelezo hayo kasema alisajili kampuni hiyo mwezi Desemba 2024, ukweli ni upi kuhusu mabasi ya Ester yaliyokuwepo kabla ya huo usajili wake wa Desemba? Je ni ya nani hayo ya August 2024 kurudi nyuma 2023,2022 nk
  3. M

    Kauli za Jaji Warioba hazipaswi kuachwa hewani lazima maswali yafutayo yajibiwe

    Hiyo tume ndiyo itachunguza wote waliotekwa? Acha kudanganya Watu. Logic ya Jaji Warioba ni kwamba idadi yoyote ya vifo iwe ndogo au kubwa inatoa tafsiri rahisi kuwa ni kubwa kwa sababu vijana waliouliwa oct29 hawakuwa na bunduki za kupambana na polisi ikilinganishwa na vita ya Kagera ambayo...
  4. M

    Ombi: Harakati za maandamano zisitishwe

    Wewe ni takataka, kwamba kwa kuwa madai hayo hayakutatuliwa na watangulizi wa Samia, basi wananchi wakae kimya. Utakuwa na matope kichwani, elewa kuwa wakati, mazingira, na aina ya Watu hubadilika. Hakuna matatizo yatakayo dumu milele, na sasa viongozi na watawala wajue kwamba muda wa...
  5. M

    Siku 100 zinakaribia huku Drs Nchimbi na Mwigulu wanapaa sio poa

    Kwani aliyeahidi kwa kutumia siku 100 hakujua kuwa ni chache, atekeleze tu, vingine wananchi wataendelea kuona kuwavni kawaida ya wanasiasa (CCM)kuendelea kufanya udanganyifu na Hadaa!
  6. M

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Hakuna mwananchi yeyote anayesema kuwa Samia ni mdini, bali ni mbinu ya wana ccm wenyewe waliotunga uzushi huo wa Udini kwa lengo la kutaka uungwaji mkono kutoka kwa baadhi ya waislam wasioweza kuchakaa mambo na pia kufunika uhalisia wa hoja za wananchi wengi wanaopinga uchaguzi uliofanyika Oktoba.
  7. M

    Tanzania ifanye kitu kwa hawa panya road na Hawa wahamasisha vurugu ili hii tabia IFE

    Wewe mbona unatumia ID fake, weka sura yako tuone.
  8. M

    Rais Samia: Wanufaika wa TASAF wamefikia 6,983,665

    Wajinga tu ndiyo wanaoweza kushindwa kuelewa kuwa "kuongezeka watu katika mfuko wa tafaf ni kiashiria sahihi cha kuongezeka kwa umaskini"
  9. M

    Tetesi: Kigogo: Humphrey Polepole aomba hifadhi Sweden!

    Kama mmempoteza Mdude na wengine wengi tena Walio nje ya chama cha cha mapinduzi, Pole pole yeye mtamnyakuliea kama kifaranga kisicho cha mama
  10. M

    Serikali/BAKWATA/Polisi/CCM: Maneno aliyosema Sheikh kwa Mwamposa 'Kukata watu Vichwa' ndio msimamo wenu pia?

    Acha ujinga pale hakuna cha fasihi wala nini, aliwasilisha ujumbe kama alivyoelekezwa akimaanisha aliyesema atakinukisha akatwe kichwa. Yale yalipangwa si bahati mbaya
  11. M

    Mkubwa kashtukia mchezo wa July - Sept, anawapukutisha Kama majani ya Kiangazi, bundi katua kwa taita

    Hatatoboa kivuli wakati hana mpinzani. Labda CDM wangekuwa wanashiriki tungejua matumaini.
  12. M

    Zitto acha kudharaulisha upinzani, wapinzani sio wa kulenga kupata viti 30, 40 au 50 vya ubunge.

    Anateseka sawa kwa kutupangia hizi idadi(namba tatu ) alizozitaja ni miongoni mwao ahadi za makubaliano ya kukamilisha idadi ya majimbo atakayoachiwa.
  13. M

    Suala la ulaya kujua mipango ya kumuwekea Lissu sumu inaonesha kuna majasusi wao wa siri ndani ya mfumo

    Wewe acha ujinga huu. Kama uliishia huko ulikuwa mzurulaji ndiyo maana ulipata shida, mbona wapo wengi wanaoishi huko na ni hakuna malalamiko. Elewa dunia ya sasa ni kutegemeana hauwezi ishi dunia ya pekee yako kama tunavyo wahitaji wazungu nao pia wanauhitaji hivyo ndiyo maana wanataka dunia...
  14. M

    Sakata la Simba ni sawa na lile la Nigeria dhidi ya Libya. Yanga msiende CAS.

    Kasome kanuni ya 31 na 34 uzichambue
Back
Top Bottom