Daaah!!! Mkuu we acha tu. Mpaka kuja kumpiga Tena Kanji sijui ni lini. Maana hapo hata 2k tu ningepata 5M. Sema ndio hivyo Huwa tunaweka matreni kujaribu maana rate ya kuchana ni kubwa.
Mimi nitaacha kubeti nikishinda 90M. Hakuna kazi isiyokuwa na changamoto. Hata mkiwa mnfanya kazi bank na wote mkawa mnapata mshahara mmoja, lakini kuna mmoja au wawili atakuwa vizuri kimaisha. Atakuwa na nyumba zaidi ya hata 3 magari n.k
Hapa tunaenda kwenye kitu kinachoitwa commitment na...
Mkuu wakati unamjibu mtu uwe unatumia akili, busara na lugha nzuri. Kumbuka hii thread ina ma'legends na wageni, sio kila mtu ni mtaalamu wa kubeti, wengine ndio wanaanza. Wewe hujawahi kuona mtu anauliza handcap ndio nini!!??
Tuendelee kuelimishana kiustaarabu kwa sababu kila kizazi kinaingia...
Daaaah!!! Yaani nilikuwa nimeshapiga hesabu za kesho kula supu ya kuku wa kienyeji na chapati mbili nikishushia na pepsi baridiii daaah!! Kamari ni konyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.