Recent content by Mbeya products

  1. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    Pia,. Sijaweka mabadiliko ya bei Muda Sasa sababu bei haipo stable ,sababu kuu ni mipaka kutokufungwa, so Mazao mengi bei imebakia vilevile na mengine kama Mchele kupanda zaidi,,,,mpunga shambani kwa Sasa ni sh elfu themanini mpaka Laki na Bado haupatikani, maindi Debe kumi na nne, mjini ,shamba...
  2. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    Karibu nikuhudumie boss wangu,
  3. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    Sijaandika tangazo kwa ajiri ya sehemu zote rafiki yangu,,,,, Nimeandika kwa ajiri ya wateja,unaweza usiwe mteja Leo kwa sababu uko sehemu fulan, ila kesho ukawa mteja kwa sababu uko maeneo ambayo nimetarget, nitakukaribisha pia , Tena kwa upendo
  4. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    Nabeba maumivu ya watu kwa kufikiria ikiwa nitawafanyia Tabia mbaya, shortly, msingi wa maisha yangu ni "Sheria ya dhahabu"...karibu kiongozi,
  5. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    Nashukuru kwa ufafanuzi kaka. Mi najuaga maindi mazuri n Yale yenye punje ndogo,ambayo kwa Mbeya mengi naona ni Yale yanatoka mbozi na umalila, ila kwa maelezo Yako umeniongezea ufahamu zaidi
  6. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    Kukoboa au kusaga vyote ni 1000, Akikoboa anabaki na pumba anauza,that's why ni 1000 Hiyo ni bei ya mahindi mapya,ya zaman YAPO, bei haipungui 20000/ Ni machache sana Mapya yamekauka,kias ukidai ya zaman unaweza pewa mapya yaliovunywa mwez wa tatu mwanzon sehemu inaitwa umalila Debe...
  7. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    Ni rahisi kukiri uaminifu kwa maneno, nijaribu kwa matendo uwe barozi wangu""
  8. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    Mahindi kukoboa na kusaga, Debe Moja bei ni 1000, Kusaga Dona pia 1000 Hiyo bei ni mapya, ya zaman haipungui ishirini, na ni machache sana Mapya yamekauka sana. Hayana shida Kwa Debe ukisaga si chini ya kilo 18 kwa Dona na si chini ya kilo 15, Kwa hiyo Debe SITA tunaweza pata wastan wa kilo 90...
  9. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    Ni kweli, mtaji wangu ni uaminifu siyo pesa, so karibu
  10. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    Ni kweli, mtaji wangu ni uaminifu siyo pesa, so karibu mkuu
  11. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Karibu ununue Mchele, Mahindi na mazao mengine kutoka Mbeya

    So sorry, Debe au plastic ni kipimo Cha kilo 20, karibu dada angu
Back
Top Bottom