Res Judicata imeeleweka kikamilifu. polepole na kikundi chake cha kuendeleza hila walizotaka Mama yetu Mh. Rais SSH asiapishwe kuwa Rais hawatafanikiwa na wataaibika na kufadhaika kunako Oktoba 2025.
Hawawezi kuwataja na hawapo ila kinachowasubua ni wivu na hila zilizowafanya kudhubutu kujaribu kuipindisha katiba ya nchi ili tu Mh. Dr. Samia Suluhu Hassan (Rais) asiapishwe kuwa Rais wa Tanzania jambo ambalo mkuu wa majeshi mzalendo kupindukia - CDF V.S. Mabeyo (Mstaafu) hakutaka kumumunya...
kamwe tusikubali kulaghaiwa na kikundi ambacho kilitaka kuvunja katiba ili kuzuia makamo wa Rais Mh. Dr. Samia Suluhu Hassan asiapishwe kuwa Rais mara baada ya kifo cha Rais Magufuli.
watu hao tuwatenge na kuendelea kuwapuuza milele daima.
watanzania tulimlinda, tunamlinda na tutamlinda Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.