Recent content by Mbao Tanzania

  1. Mbao Tanzania

    Ratiba yako ya kwenda 'Site' ni ipi?

    Alaf kwa ubola wapo juu kuliko viwanda vingne apa nchin??
  2. Mbao Tanzania

    Ratiba yako ya kwenda 'Site' ni ipi?

    Ikifika hatua ya mbao tupo apa tunakuletea mbao zako mpka Site kwako kokote pale mzigo wako unakufikia.
  3. Mbao Tanzania

    Ratiba yako ya kwenda 'Site' ni ipi?

    Sio mafundi tu, hata baadhi ya wauzaji wa mbao wana tabia zisizofaa. Ni bora kuwaanika na kushauriana juu ya kukabiliana nao. Mfano wengi wanaiba idadi na sizes za mbao kwa kumlaghai mteja. Haipendezi. Sisi tunajitahidi kufanya biashara kwa weledi na uwazi. Tunaruhusu mteja kuja na fundi wake...
  4. Mbao Tanzania

    Ratiba yako ya kwenda 'Site' ni ipi?

    Ni kweli kabisa. Kwa bahati mbaya watu wengi huchukua mafundi wa mtaani kwa sababu ya unafuu wa gharama. Mafundi wa mtaani hawafanyi kazi kwa miiko wala taaluma. Hayo hayaepukiki.
  5. Mbao Tanzania

    Mbao zenye dawa ni bora kuliko chuma

    Mkangazi zinafaa na hazishambuliwi sana na wadudu. Tumia tu.
  6. Mbao Tanzania

    Ratiba yako ya kwenda 'Site' ni ipi?

    Basi hapa tunakufikishia mzigo wako na hutalipia hata mia kwenye gharama za usafiri. Karibu muda wowote mkuu Kapumpuli.
  7. Mbao Tanzania

    Ratiba yako ya kwenda 'Site' ni ipi?

    Hongera sana mkuu. Umejitahidi mno. Sawa ukiwa tayari wasiliana nasi tukuuzie mbao, tutakusafirishia mzigo wako hadi site BURE kama upo ndani ya Dar es Salaam. Jenga Nasi. Mbao Tanzania.
  8. Mbao Tanzania

    Ratiba yako ya kwenda 'Site' ni ipi?

    Hili ni tatizo kubwa
  9. Mbao Tanzania

    Ratiba yako ya kwenda 'Site' ni ipi?

    Mkuu mbao zote izo Treated uwez kuwezekea mbao ambayo sio Treated
  10. Mbao Tanzania

    Ratiba yako ya kwenda 'Site' ni ipi?

    Umefikia wapi kwenye ujenzi? Wikiendi imefika na mzigo wa Mbao upo wa kutosha. Tazama mifano ya shughuli za ujenzi zinavyoendelea site kwa mbao imara. Wasiliana nasi kwa mahitaji ya mbao size zote. Simu: 0782425190.
  11. Mbao Tanzania

    Hadi Mama Dangote amekuja Mbao Tanzania, sijui anajenga ghorofa!

    Tofauti na wauzaji wa mbao wengine ambao wao huzipaka dawa ili kuzuia kuliwa na wadudu, mbao zetu hatuzipaki dawa yoyote bali TUNAZICHEMSHA kabisa na dawa. Mbao zikipakwa dawa bado zinakuwa haziko salama dhidi ya wadudu kwa sababu dawa huishia juu juu tu, lakini zikichemshwa dawa inapenya hadi...
  12. Mbao Tanzania

    Hadi Mama Dangote amekuja Mbao Tanzania, sijui anajenga ghorofa!

    Hahaha, mzee Mgaya kama uyasemayo ni kweli basi tutumie uthibitisho PM kisha tutakuja na uzi mahsusi wa kutambua wateja wetu ambao si watu maarufu katika jamii. Kwa maneno mengine, tunawahitaji wote katika kuwaaminisha wenye mashaka kuhusu ubora wa huduma zetu lakini pia kuwapa hamasa wale...
  13. Mbao Tanzania

    Tuulize chochote kuhusu mbao na changamoto zake

    Kiongoz wasiliana nasi kupitia namba hizi whtssp:! 0782 425190
Back
Top Bottom