➡️Kudhibiti ulaji wa nyama nyekundu kwa wingi.
➡️Kupunguza ulaji wa wingi wa mayai na maziwa.
➡️Matumizi mengi ya chumvi kwenye mboga
➡️Kudhibiti kupanda kwa shinikizo la juu la damu
➡️Kudhibiti sukari
➡️Kutotumia pombe au kahawa
➡️Tumia mafuta kiasi kwenye mboga/kuandalia chakula mfano...
Moja ya dalili hatari za tatizo hili ni pamoja na;
1️⃣Kupumua kwa shida sana
2️⃣Kujaa na kuvimba kwa miguu.
3️⃣Kifua kubana na
4️⃣kupoteza fahamu.
Dalili zingine za moyo kutanuka ni pamoja na Vidole kufa ganzi na kukakamaa, kuishiwa nguvu na kizunguzungu, mapigo ya moyo kwenda kwa kasi...
Cardiomegaly (kutanuka kwa moyo) ni matokea ya kuta za moyo au mishipa ya moyo kufanya kazi kuliko uwezo wake wa kawaida yaani umeuoverload moyo.
Wataalamu wanasema, cardiomegaly sio ugonjwa bali ni matokea ya moyo kufanya kazi kubwa,maradhi ya moyo including high blood pressure mwilini au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.