Recent content by Mbalilwa

  1. M

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Morogoro Mjini- Mafiga

    Nyumba inauzwa kwa bei poa kabisa Tuwasiliane kwa namba 0699366788 nyumba ipo morogoro mjini-mafiga Your warmly welcome
  2. M

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Morogoro Mjini- Mafiga

    Nyumba inauzwa kwa bei nafuu kabisa IPO Morogoro mjini- Mafiga yenye vyumba kumi na eneo la ziada Wasiliana nasi kwa namba: 0699366788
  3. M

    Sijui ni moyo au pressure, msaada wa haraka

    ➡️Kudhibiti ulaji wa nyama nyekundu kwa wingi. ➡️Kupunguza ulaji wa wingi wa mayai na maziwa. ➡️Matumizi mengi ya chumvi kwenye mboga ➡️Kudhibiti kupanda kwa shinikizo la juu la damu ➡️Kudhibiti sukari ➡️Kutotumia pombe au kahawa ➡️Tumia mafuta kiasi kwenye mboga/kuandalia chakula mfano...
  4. M

    Sijui ni moyo au pressure, msaada wa haraka

    Moja ya dalili hatari za tatizo hili ni pamoja na; 1️⃣Kupumua kwa shida sana 2️⃣Kujaa na kuvimba kwa miguu. 3️⃣Kifua kubana na 4️⃣kupoteza fahamu. Dalili zingine za moyo kutanuka ni pamoja na Vidole kufa ganzi na kukakamaa, kuishiwa nguvu na kizunguzungu, mapigo ya moyo kwenda kwa kasi...
  5. M

    Sijui ni moyo au pressure, msaada wa haraka

    Cardiomegaly (kutanuka kwa moyo) ni matokea ya kuta za moyo au mishipa ya moyo kufanya kazi kuliko uwezo wake wa kawaida yaani umeuoverload moyo. Wataalamu wanasema, cardiomegaly sio ugonjwa bali ni matokea ya moyo kufanya kazi kubwa,maradhi ya moyo including high blood pressure mwilini au...
  6. M

    Sijui ni moyo au pressure, msaada wa haraka

    Kwa tatizo hili naweza kukusaidia,amini utarejea kwenye afya yako. Nicheki 0678640098
Back
Top Bottom