Recent content by MAZAA

  1. M

    CRDB na fees zao...!?

    Umekosea hapo, maintanance fees ni tsh 1,000 per month, withdraw charges kwenye ATM ni sh 600, over the counter ni sh 1000 Visa withdraw charges niincase ukiwithdraw kwenye ATM ambayo sio ya CRDB ndo utakatwa sh 2000:A S angry:
  2. M

    CRDB na fees zao...!?

    Pole sana, but those are normal fees Card fees huwa ni shilingi 4000 semi annualy, i mean per year utakatwa card fees tsh 8000, na huwa hizo fees zinapita mwezi wa saba na mwishoni mwa december au january mwanzoni. Kama ulikatwa card fees mara mbili inawezekana kabisa either ulirenew card alafu...
Back
Top Bottom