Nakumbuka sana kipindi kile pale magomeni, tulimfungia hadi mlango baada ya kuleta urasimu uliotuudhi sana by then. Lakini yatupasa kusameana kama binadamu kwan mapungufu ni kwa kila mtu. R. I. P MAMA NGURUME
Hello to JF Members, MAJIBU YA NAPE KWA HOJA HII
Nimefanya uchambuzi wa maelezo yaliyotolewa na Mhe. Maige sambamba na majibu ya Mhe. Nape na kubaini kuwa ni sawa na ngoma za jadi ambazo kila mtu hutaka kushinda.
Inajulikana tangu awali kuwa Nape amepewa nafasi ya Ukatibu Mwenezi, kazi ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.