Pantev katolewa mbuzi wa kafara,,shida iko kwa viongozi wanapigana shoti,,pantev ndio alikuwa anakosa magoli uwanjani? Alafu matola amekuwa ndio alfa na omega pale anawapiga majungu wenzake yeye anaendelea kupeta tu🤣🤣
Je viongozi wa simba washaelewana ili wapate matokeo chanya? Bila ivyo simba...
Nimemnukuu msemaji wa simba ambaye uwa namuweka kwenye kundi la comedian aliwai kusema Kuna katimu kazi yake ni kugawa utamu tu kwenye kundi lake!
Maneno hayo alikuwa anailenga yanga kabla michuano ya kimataifa aijaanza sasa naona simba ndio imekuwa inagawa vizuri utamu kotekote iwe nyumbani...
Mwenye macho aambiwi tizama, na mwenye masikio anasikia, hivyo ndivyo unavyoweza kusema juu ya mabingwa wa kihistoria nchini Tanzania Yanga!
Siku zote form uwa inakuja na kupotea lakini class uwa aipotei Abadan,,
Yanga kaonyesha kwa vitendo baada ya kupitia changamoto kidogo na sasa wanarudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.