Recent content by mavumbamakasha

  1. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ahsante sana brother, nimekuelewa
  2. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mungu ameniona, Mungu ameniona, Mungu ameniona, Mungu ameniona, ahsante sana utumishi
  3. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Haina noma, maana majina yanatoka tu lakini bilabila
  4. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    NAFASI ZILITANGAZWA 10, ORAL TUKAENDA 100, MPAKA SASA WAMEITWA KAZINI 30, MNANIAMBIAJE?! HALI TETE
  5. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Inamaana Hawa wanaoitwa kwenye kada yangu walifanya vizuri kunizidi?! Mungu nikumbuke nami
  6. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi nahisi wewe umeishia darasa la saba upo huku kuzingua
  7. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mtendaji wa kata anakua na degree, hao watendaji wa mtaa wana certificate
  8. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    We kichaa sijui una certificate ya nini?!!!
  9. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    IT hausiki kabisa, yeye anapewa maelekezo tu tena unaweza kuta kazi inafanywa na sekretari!
  10. M

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hili suala la kutangaza nafasi za kazi wakati database ina watu mnalionaje?
Back
Top Bottom