Napenda kujua namna ambayo mtu anaweza kutumia ili kudhibiti uharibikaji wa mayai pindi kuku anapokuwa anaatamia.
Pia kama kuku anataga mayai mengi kuliko yale anayoweza kuatamia ni mbinu gani unaweza kutumia ili kuhakikisha mayai hayo yanatotolewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.