Recent content by Maumwaiko

  1. M

    Walimu msilalamike wenzenu wagani mwaka wa nne tuko mitaani

    Me pia ni mwalimu o-level nilipata dv3 na a-level dv2 ya points 10 nikaenda udsm na nimesoma shule za kata, utaniiata failure. Tatizo mnasoma fani kwa sifa oh me nasoma ugani au ugavi au biashara eti msiitwe walimu ila mnasota mtaani mkimaliza. Angalieni na familia mnazotokea kama marefa hamna...
  2. M

    interview tpdc

    kwani hizo nafasi nyingine watazitoa lini kwa mwenye kujua?
  3. M

    tpdc vipi?

    wadau mwenye taarifa kuhusu tpdc kama waeshatoa shortlist
  4. M

    mwalimu wa History na Literature Dar

    naombeni msaada kwa anayejua shule inayohitaji mwalimu wa masomo hayo
Back
Top Bottom