Wanaishia kusema mahakama italeta vita bila kueleza kwa undani how religious war itatokea kutokana kwa uwepo hii mahakama. Bado sijaona madhara ya hizi mahakama kwa nchi kama ya uganda ambayo inayo hii mahakama.
ewe mkristo tambua ya kwamba mahakama ya kadhi itawahusu waislam na kuhusu gharama za uendeshaji ni zao wenyewe kama serikali ilivyosema. Kwanini mnapenda kuwanyima haki zao waislam. Hivi ni kweli mahakama ya kadhi italigawa taifa kwa lipi hasa hebu tuseme ukweli. Mimi naona endapo mahakama ya...
Linapokuja swala la mahakama ya kadhi ndio tunakumbuka kuwa nchi haina dini. Mbona kuna taasisi za makanisa zinapewa ruzuku kuendesha shughuli zao. Mimi nadhani hii nchi inatakiwa tupigane vita vya wenyewe kwa wenyewe ndio tutaheshimiana. Mifano ipo mingi ya nchi ambazo ilitokea civil war na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.