Habari za uhakika kutoka ndani ya CCM ni kwamba hakuna ugomvi wala mvutano wowote kati ya Kinana na Rais Magufuli. Na kwamba kinachofanyika hivi sasa ni kile kinachofananishwa na tabia ya fisi ya kuvizia mkono wa binadamu uchomoke ili apate kitoweo, jambo ambalo abadan halitakuja kutokea kamwe...
TAHARUKI UKAWA, SUMAYE KUOKOA JAHAZI
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye mchana huu anatarajiwa kujiunga na Chama Cha NCCR-Mageuzi katika kile kinachoitwa "Mpango Mbadala" kutokana imani ya viongozi wa UKAWA kwamba lolote litatokea kwa Mgombea wa UKAWA kutokana na hali yake ya afya kuendelea...
Vyama vinavyounda umoja wa Katiba Ukawa vimeshindwa kukubaliana mgawanyo wa vyeo na badala yake kuamua kwenda Jangwani kwanza kwenye mkutano wa hadhara kisha ndiyo warejee kwenye meza ya mazungumzo.
Kikao kilichohusisha Viongozi wa vyama vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi kimeshindwa kufikia...
Katika hali isiyo ya kawaida mawaziri karibu wote walosimama leo kujibu hoja mbalimbali wamemzodoa Waziri aliyefukuzwa Edward Lowassa kuwa HAITOSHI KUSEMA TU KUWA AJIRA NI BOMU, aende mbali zaidi atoe majibu ya kutegua bomu hilo!
Nape kasema anao ushahidi wa kikao kilichofanyika mjini Dodoma cha baadhi ya viongozi wa Chadema kilichoazimia kuanza rasmi kampeni ya kumtukana na kumdhalilisha baba wa Taifa Mwl. Julius Kambarage Nyerere.
Nape anasema matusi na kujeli za hivi karibuni za Mh. Tundu Lissu kwenye bunge la katiba...
Katibu Mkuu wa CCM abdulrahaman Kinana amewataka Viongozi aw vyama vya siasa nchini hasa Chadema kuondosha ukibaraka na ubinafsi na badala yake waache watanzania watoe maoni Yao kwa uhuru kwa Lengo la kupata katiba mpya itakayobeba matakwa Yao na si ya makundi macha he
CCM leo imefanya mkutano mkubwa wa Hadhara mjini Kahama na kutolea ufafanuzi Masuala mbalimbali ya msingi likiwemo Suala la mchakato wa Katiba mpya na Suala la vurugu za Bungeni zilizosababishwa na wabunge wa CHADEMA hivi karibuni.
Kasi ya Hii ya CCM ya kurejesha Imani kwa kasi kwa wanachama...
Kila mmoja ananafasi yake, wote wataunguruma, wakati Katibu Mkuu akipokea mwanachama mpya ambaye ni Mbunge wa Chadema, Nape atatema cheche Kwenye mambo ya utekelezaji aw Ilani ya uchaguzi
CCM kesho itawasha moto katika mkutano wake wa kuhitimisha ziara ya Sekretarieti mkoani humo ambapo katika muda wa wiki moja wametembelea kila kona ya mkoa huo na kufanya shughuli za kuboresha na kuimarisha uhai wa CCM katika ngazi za Chini yaani Mashina, Matawi, na Kata.
TBC TV na Radio kesho zitarusha matangazo ya moja kwa moja ya mkutano wa hadhara wa CCM utakaofanyika katika viwanja vya shule ya msingi uwanja wa Ndege mjini Morogoro.
Nape kesho anatarajiwa kuelezea namna Chadema wanavyopokea fedha za kifedhuli kutoka kwa wakoloni. Ni katika mkutano wa hadhara Morogoro kesho Jumapili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.