Habari wana jamvi..hawa jamaa wametangaza nafasi za kazi karibuni..ukituma maombi online inakataa..
ushauri wangu kwenu kama watu wenu wa IT wababaishaji endeleeni na utaratibu tu wa siku zote wa kutuma maombi kawaida (Yani muweke option moja) twende zetu kwenye shirika la posta tukatume maombi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.