Recent content by matunduizi

  1. matunduizi

    Nabii na Mtume Joseph Kibwetere, Aliyewachoma moto waumini wake nchini Uganda

    Hata shetani alitumia biblia kumpotosha Yesu japo alishindwa.
  2. matunduizi

    Watu kuingia Uwanjani bure ni kuhamasisha uvivu wa kitaifa

    Naamini kwa wanavyopendwa sasa hata wangesema 10K kwa mzungukp bado wangejaza watu. Hii ni kufanya uwanja kuwa kama kokoro. Wezi, vibaka, mashabiki, wanaokuja kushangaa etc Yaani ile commitment na consistency ya ushabikiaji haiwezi kuwepo. Ni mkakati mbaya.
  3. matunduizi

    Watu kuingia Uwanjani bure ni kuhamasisha uvivu wa kitaifa

    Tabia ya watu kuingia uwanjani bure kuangalia Match ambayo walipaswa kulipia ni kuhamasisha uvivu wa kitaifa. Mentality za ubure ni mentality za kuhamasisha umasikini. Watu wazoezwe kuwajibikia na kughalimikia burudani zao. Ni hilo tu
  4. matunduizi

    Hiki kitu wamepewa wanadamu wote wanaomuamini na kutomuamini Mungu, ila waafrika hasa Tanzania hatuoendi kukitumia

    Kwa Mujibu wa Mungu, Kile mtu ambacho atafanikiwa kukiwaza anauwezo wa kukifanya. "Awazavyo mtu moyoni mwake ndivyo alivyo". Sababu ya Mwenyezi Mungu kushuka kuchafua Lugha kwenye mnara wa Babeli ni mawazo ya wale watu. Yeye aliona huo mnara umeshajengwa hata kabla hawajaanza. Watu wengi...
  5. matunduizi

    Kwenye msitu wangu kuna black mamba/ koboko natafuta njia za kumwangamiza bila kuleta madhara kwenye jamii

    Kuna mmama mmoja south africa anamfuga ndani kama paka. Anacheza nae tu.
  6. matunduizi

    Kwenye msitu wangu kuna black mamba/ koboko natafuta njia za kumwangamiza bila kuleta madhara kwenye jamii

    Koboko ninamuogopa sana. Niliwahi kutaka kununua shamba, wakati yule mzee ananitembeza tukakutana na Koboko amekufa shambani. Mzee ananiambia huyu tulimuua alikuwa kwenye hiki kichuguu. Kwa theory ya koboko ninavyoifahamu niliahirisha hapo mahala. Nashauri uwaone wataalam wa nyoka wa vijijini...
  7. matunduizi

    Tusiseme wana wa kike wa siku hizi wanapend pesa, ukweli ni wanawake wameumbwa ili waishi maisha mazuri ten yenye usalama.

    Unaweza kutoa mtazamo wako kwa dini yako ya Atheism. Maana hujajibu hoja, hoja bado iko yatima, umetoa tu hisia zako juu ya dini. Hii inakufanya kuwa na matumizi duni kabisa ya Ubongo.
  8. matunduizi

    Tusiseme wana wa kike wa siku hizi wanapend pesa, ukweli ni wanawake wameumbwa ili waishi maisha mazuri ten yenye usalama.

    Mwanamke alipoumbwa, alikuta Mungu ameshaandaa sehemu bora safi ya kustarehehesha yaani Eden. Maana ya neno Eden ni Sehemu ya kustarehesha inayolindwa. ( Protected place of Pleasure). Hata baada ya kufukuzwa Eden. Bado mwanaume aliambiwa atakula kwa jasho ili matumizi ya matokeo ya hilo jasho...
  9. matunduizi

    Haya magroup ya shule mmlishamaliza shule miaka yapata 12. mnachangishana Hivi mimi ndiye nawaza negative?

    Inategemea na mahusiano yenu mlipokuwa shule. Wengine tunazaidi ya 20M kwa ajili ya lolote litakalompata yeyote na familia yake. Mimi changamoto ya haya makundi ni kwa nini hakuna makundi kwa ajili ya maendeleo? Yani yote ni kwa ajili ya kujihami wakati wa kufa au kufiwa tu.
Back
Top Bottom