Recent content by matunduizi

  1. matunduizi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Uganda. Kuna tetesi Kainerugaba mkuu wa majeshi na mtoto wa Rais akasema Israel ikizidiwa wao wataingilia kati. Wako upande wa Israel na kaagiza vita iishe mara moja. Chanzo: Jerusalem Post https://www.jpost.com/middle-east/iran-news/article-891223
  2. matunduizi

    Tanzania Yatumia Bilioni 23 Kuagiza Maziwa Nje Ya Nchi

    Mbona ujinga wetu ni mkubwa sana mkuu.
  3. matunduizi

    Tanzania Yatumia Bilioni 23 Kuagiza Maziwa Nje Ya Nchi

    Lakini Tuliambiwa TZ ni ya pili kama sio ya tatu kwa mifugo Afrika. Au ilikuwa ni kuongezana ujinga tu sio kweli
  4. matunduizi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Intelligensia ya US inasema Iran imehamishia 440Kg yao ya Enriched Uranium eneo la milima ya Pickaxe. Huko wanamahandaki chini ya milima ya miamba ya Graphite ambayo hakuna Bunker busters duniani inaweza kuyalipua kwa sababu ya ugumu wa miamba ile.
  5. matunduizi

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Hii kitu niliwaambia wadau kwenye uzi ule wa vita wakabeza. Inasadikiwa hii vita ilitakiwa kudumu kwa masaa 48 tu. Baada ya kuuwawa Ayatollah walitarajia yatokee maandamano kama ya Arab spring na utawala wa kiayattolah uangushwe kupitia Cells zao huko Iran. Matokeo yakaja kinyume. Tuombe...
  6. matunduizi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    UAE imetishia kama itachokozwa tena itaigeuza Iran kuwa majivu. Jeshi lake la anga linauwezo wa kuangusha nchi yoyote
  7. matunduizi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kwa siku mbili tu Iran ameuza mafuta yenye faida ya trillioni 30+. Hii ni baada ya mfereji wa Harmoz kufungwa na mafuta kupanda na US Kulazimika kuwaondolea vikwazo.
  8. matunduizi

    Kwanini bara la Afrika linaongoza kwa maombi na bado watu wake ni Maskini?

    Hauna exposure tu mkuu. Hakuna watu wanaomba kama wachina. Tena wale monk ndio wamehamia kabisa mahekaluni. Waarabu matajiri wakubwa wanalala na kushinda misikitini. Maombi hayana uhusiano na umasikini. Umasikini ni matokeo ya laana ya kutoziishi kanuni za kitajiri za kwenye biblia
  9. matunduizi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Netanyahu: “We are working to bring Iran to places it has never been before. They will understand that they are below, and we are above.”
  10. matunduizi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Nasikia short range ballistic missle ya Iran Fattah 360 yenye speed ya mach 3 iko mikononi mwa Hesbullah lwa mujibu wa tweet za wanapropaganda wa Iran. Kama ni kweli kavita kanazidi kuchangamka. Kwa vita ilivyo kumbe ingekuwa US vs Iran US angeshabigwa masaa 48 ya kwanza tu. Israel ndiye mwamba...
  11. matunduizi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Trump kampiga biti muajemi ndani ya masaa 48 asipofungua mfereji wa hormoz watashambulia vituo vya umeme. Inasemekana Iran anavituo vya umeme 400. Kati ya hivi vikubwa ni 5. Lakini hivi vitano vinachangia umeme kwa 3% tu nchi nzima. Wakati huo inasemekana Israel anavyo vikunwa vitano tu ambavyo...
  12. matunduizi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hii wanashambulia hapa kila siku au makombora yanauwezo mdogo wa kuleta madhara. Maana hii ni karibu mara ya kumi wanashambulia hapohapo
  13. matunduizi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Labda ndio maana wanaua watoto wa shule ya chekechea na wanasayansi
  14. matunduizi

    Iran yakishambulia kituo cha Nyuklia cha Dimona na kukiharibu kabisa

    Nasikia anataka kuishtaki Iran baraza la usalama la UN kwa kutumia Cluster ammunition.
Back
Top Bottom