Recent content by matunduizi

  1. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    US kuhusu Israel kushambulia Lebanon anasema makubaliano ya kusimamisha vita hayahusishi Lebanoni. Na Iran nao wanasema makubaliano hayo hayahusishi Israel
  2. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Waziri wa vita US Pete Hegseth Iran wachague moja kukabidhi Enriched Uranium waliyonayo au tutakuja kuichukua. Maneno hayahaya yamesema na Netanyahu. Iran wachague kukabidhi Uranium yao kwa makubaliano au kwa vita kuendelea
  3. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Iran wanasema wamebakiwa na missiles ambazo wakiambiwa wazihesabu itachukua siku mbili taslimu.
  4. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kila meli inailipa Iran Bili 4+ kama kodi ya kupita pale.
  5. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Sioni vita vikisimama hapo
  6. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kiduku Kama US atathubutu kutumia Nyuklia Iran, nao wanaishambulia Iran na Washington kwa Nyuklia. Kwani NK yanawahusu nini haya au biti tu
  7. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Wanasema wenyewe wanaopigana. Sasa mimi nitawabishia mkuu. Na wanadai sio ndege mbili bali 12 ziliangushwa pale kwenye uwanja wa pambano. Ukweli wanaujua wenyewe Marekani na Iran. Sisi tunasema wanayotasema.
  8. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mbona unapanic kwenye vitu vidogo sana bro. Immotional intelligence yako unaianika wazi kwenye vitu vya kawaida. Ndio maana huu uzi unakoswa mvuto. Hayo ninayosema inawezekana ni kuacha room ya kujadili tu ila ndivyo wanavyojadili watu duniani kuhusu ile misheni. Wapo wanaosema ilikuwa...
  9. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Tuwe wa kweli hii vita imejaa uonguongo sana. Kila upande hauaminiki na taarifa zake. Tusubiri matokeo ya mwisho tu.
  10. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Baadi ya wachambuzi wanadai ilikuwa ni maandalizi ya kutengeneza route for future ground invention ila hayakufanikiwa. Hizi ni tetesi sio facts
  11. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Iran wanatumia hadi magari ya kubebea taka kurusha missile Kwa Israel.
  12. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Inategemea na lengo la wakati huo. Iran huwezi kuvamia kama Iraq jiografia inakataa. Huko angalau waliona kuna shamba linakama runway angalau wanapata pa kuanzia. Covert operation kama ya kuchukua hiyo 440 Enriched Uranium iliyokomafichoni haihitaji Humvies wala maroli ya kijeshi. Upate sehemu...
  13. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Lile Dege huwa linabeba hadi wanajeshi 97 watu wanauliza watakuwa wanaenda wapi.
  14. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Hivi ndivyo ilivyo...
  15. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Inasemekana lile lilikuwa sio jaribio la kumuokoa Rubani bali ni jaribio la kwanza la ground invention lililofeli na jamaa wakawakimbia wanavijiji waliokuwa wanatumia magobole. Ndio maana made get makubwa mawili yaliyolipuliwa ni vigumu kuamini yote hayo yaende kumuokoa mtu mmoja.
Back
Top Bottom