Naamini kwa wanavyopendwa sasa hata wangesema 10K kwa mzungukp bado wangejaza watu.
Hii ni kufanya uwanja kuwa kama kokoro. Wezi, vibaka, mashabiki, wanaokuja kushangaa etc
Yaani ile commitment na consistency ya ushabikiaji haiwezi kuwepo. Ni mkakati mbaya.
Tabia ya watu kuingia uwanjani bure kuangalia Match ambayo walipaswa kulipia ni kuhamasisha uvivu wa kitaifa.
Mentality za ubure ni mentality za kuhamasisha umasikini. Watu wazoezwe kuwajibikia na kughalimikia burudani zao.
Ni hilo tu
Kwa Mujibu wa Mungu, Kile mtu ambacho atafanikiwa kukiwaza anauwezo wa kukifanya.
"Awazavyo mtu moyoni mwake ndivyo alivyo".
Sababu ya Mwenyezi Mungu kushuka kuchafua Lugha kwenye mnara wa Babeli ni mawazo ya wale watu. Yeye aliona huo mnara umeshajengwa hata kabla hawajaanza.
Watu wengi...
Koboko ninamuogopa sana. Niliwahi kutaka kununua shamba, wakati yule mzee ananitembeza tukakutana na Koboko amekufa shambani. Mzee ananiambia huyu tulimuua alikuwa kwenye hiki kichuguu. Kwa theory ya koboko ninavyoifahamu niliahirisha hapo mahala.
Nashauri uwaone wataalam wa nyoka wa vijijini...
Unaweza kutoa mtazamo wako kwa dini yako ya Atheism. Maana hujajibu hoja, hoja bado iko yatima, umetoa tu hisia zako juu ya dini. Hii inakufanya kuwa na matumizi duni kabisa ya Ubongo.
Mwanamke alipoumbwa, alikuta Mungu ameshaandaa sehemu bora safi ya kustarehehesha yaani Eden. Maana ya neno Eden ni Sehemu ya kustarehesha inayolindwa. ( Protected place of Pleasure).
Hata baada ya kufukuzwa Eden. Bado mwanaume aliambiwa atakula kwa jasho ili matumizi ya matokeo ya hilo jasho...
Inategemea na mahusiano yenu mlipokuwa shule. Wengine tunazaidi ya 20M kwa ajili ya lolote litakalompata yeyote na familia yake.
Mimi changamoto ya haya makundi ni kwa nini hakuna makundi kwa ajili ya maendeleo? Yani yote ni kwa ajili ya kujihami wakati wa kufa au kufiwa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.