Uganda.
Kuna tetesi Kainerugaba mkuu wa majeshi na mtoto wa Rais akasema Israel ikizidiwa wao wataingilia kati. Wako upande wa Israel na kaagiza vita iishe mara moja.
Chanzo: Jerusalem Post
https://www.jpost.com/middle-east/iran-news/article-891223
Intelligensia ya US inasema Iran imehamishia 440Kg yao ya Enriched Uranium eneo la milima ya Pickaxe.
Huko wanamahandaki chini ya milima ya miamba ya Graphite ambayo hakuna Bunker busters duniani inaweza kuyalipua kwa sababu ya ugumu wa miamba ile.
Hii kitu niliwaambia wadau kwenye uzi ule wa vita wakabeza. Inasadikiwa hii vita ilitakiwa kudumu kwa masaa 48 tu. Baada ya kuuwawa Ayatollah walitarajia yatokee maandamano kama ya Arab spring na utawala wa kiayattolah uangushwe kupitia Cells zao huko Iran. Matokeo yakaja kinyume. Tuombe...
Kwa siku mbili tu Iran ameuza mafuta yenye faida ya trillioni 30+.
Hii ni baada ya mfereji wa Harmoz kufungwa na mafuta kupanda na US Kulazimika kuwaondolea vikwazo.
Hauna exposure tu mkuu.
Hakuna watu wanaomba kama wachina. Tena wale monk ndio wamehamia kabisa mahekaluni.
Waarabu matajiri wakubwa wanalala na kushinda misikitini.
Maombi hayana uhusiano na umasikini. Umasikini ni matokeo ya laana ya kutoziishi kanuni za kitajiri za kwenye biblia
Nasikia short range ballistic missle ya Iran Fattah 360 yenye speed ya mach 3 iko mikononi mwa Hesbullah lwa mujibu wa tweet za wanapropaganda wa Iran.
Kama ni kweli kavita kanazidi kuchangamka.
Kwa vita ilivyo kumbe ingekuwa US vs Iran US angeshabigwa masaa 48 ya kwanza tu. Israel ndiye mwamba...
Trump kampiga biti muajemi ndani ya masaa 48 asipofungua mfereji wa hormoz watashambulia vituo vya umeme. Inasemekana Iran anavituo vya umeme 400. Kati ya hivi vikubwa ni 5. Lakini hivi vitano vinachangia umeme kwa 3% tu nchi nzima.
Wakati huo inasemekana Israel anavyo vikunwa vitano tu ambavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.