Recent content by matorola

  1. M

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya Nyegezi-Mwanza Mjini ni mbovu mno, pia daraja ni dogo na Mkandarasi amelitelekeza tangu Januari 2025

    Ndipo watakapotwambia mama anaupiga mwingi, Wacha Bara Bara hata Maji kwenye baadhi ya maeneo kama Buhongwa, Nyashishi machinjioni ni shida, yanatoka mara 2 Kwa week
  2. M

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya Nyegezi-Mwanza Mjini ni mbovu mno, pia daraja ni dogo na Mkandarasi amelitelekeza tangu Januari 2025

    Barabara ya Mwanza Mjini mpaka Nyegezi imekuwa ni kero kwa muda mrefu kiukweli kwa wakazi wa Mwanza na wengine wanaopita kuitumia. Hii barabara ni mbovu inasababisha foleni hasa maeneo ya Mkuyuni, hili limechangiwa sana na Mkandarasi JASCO ambae tangu Januari 2025 alimwaga kifusi kwa ajili ya...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nimekuwa mtu wa kulia sana, nipo katika kipindi kigumu sana cha maisha

    Mpaka pale tutakapokubali kubadirika na kuzitafuta haki zetu Kwa watawala Kwa nguvu Lkn tukibaki kuwa watu wa kulalama mitandaoni, huku watawala wakipasiana madaraka na Watoto wao, ndugu, na washikaji zao. Sisi tunaendelea kuteseka na kuwaimbia mapambio basi hatutofika. Tunatakiwa kuzipambania...
Back
Top Bottom