Recent content by Matata22

  1. M

    Buriani Amina Chifupa!

    Nimekusoma Kada ingawa mzee Mwanakijiji bado anatafakuruuuuuuuu...kuanzisha hiyo petition...
  2. M

    Buriani Amina Chifupa!

    Hei Kada Tumpe facts Dr Slaa....aliwashe Bunge Dodoma kwamba wawakilishi wake wameomba uchunguzi wa Kina.......... Ila naye apewe ulinzi sasa
  3. M

    Buriani Amina Chifupa!

    Please Mwanakijiji Create another petition against the Government to establish an independent inquiry against this tragedy of our beloved Sister AC..... Full Support
  4. M

    Buriani Amina Chifupa!

    Naona sasa EN naye ajiuzulu umwenyekiti wa UCCM maana kila kijana akijitokeza kugombea nafasi kwenye hiyo jumuiya ni MAREHEMU au KICHAAAAAA... Nani wa kumwambia ATOKE???? Tumechoka sasa na huyu PhD Feki... JK kweli analiona hili au ndo mzee wake wa kamati ya ufundi????
  5. M

    Buriani Amina Chifupa!

    Jamani ndo maisha haya... lakini ametutoka wakati familia na jamii nzima ikimtegea sana. Bwaa alitoa na Bwana ametwaa jina lake litukuzwe Amlaze pema peponi
  6. M

    Baadhi ya Lecturers wa Mzumbe wana degree Feki - VC wao naye FEKI

    mhhhh.... hili suala la degree feki ni global issue na MU is just a mere instance of that issue. Nadhani hili suala litazamwe kitaifa na wala si kuliharalisha kwenye siasa, kampeni..... ohhh bra bra...... Kenge ni kenge tu huwezi kumbadilisha Ngozi kumwita Mjusi ili aikidhi hadhi yako.. Sidhani...
Back
Top Bottom