Ndugu zangu tunaoendelea na tukaomba mikopo, naomba kupewa ufafanuzi kidogo. Mimi binafsi niliapply moja kwa moja bodi kwa kuambatanisha fomu ya udahili na viambatanishi vyote vya kunitambulisha kuwa ni mwanachuo ninaeendelea. Sasa hapa kuna wale waliopitia chuoni na sisi tulioomba direct. Je...
Mie pia nipo second year BED, UDOM. Mwaka jana sikuomba ila mwaka huu nimeomba na mpaka sasa naona empty!! kusoma bila mkopo ni zaidi ya mateso aiseee. Kama kuna continous aliyapata mkopo atupe moyo basi!!!!!
Kama tulivyokuwa tukifuatilia majibu ya transfer kabla hayajatoka pia yatupasa kufuatilia namna ya kuingia vyuo tulivyopangiwa na tcu baada ya transfer. Hivyo kwa wale wa Dar tujitahidi kwenda TCU physically, huenda wakawa na majibu ya moja kwa moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.