Jamani eee!, mbona mizinguo kwa wahusika(viongozi) wakati nimeshapata wa kubadilishana nae?, au taratibu zikoje maana nashindwa kuelewa! Naomba kujuzwa
Wale mnaotaka kutoka NJOMBE wilaya yoyote kusogea mikoa ya kanda ya ziwa, nipo SHINYANGA VIJIJINI, tubadilishane, shule ipo karibu na senta kubwa ambayo ina mahitaji yote. Idara ya MSINGI. Karibuni nyote tuwasiliane kwa no; 0764205502 au 0788087771.
Mkuu hebu nieleweshe hapa, barua ya ajira inaandikwa na nani?, vitambulisho kwa walimu wapya vitapatikana lini?, slp ya mshahara nayo itatoka mshahara wa kwanza au?, na barua hizo mbili moja yako na ya unayebadilishana nae au mbili kivipi?. MSAADA kwani nimeshapata wa kubadilishana nae nataka...
Mkuu hebu nieleweshe hapa, barua ya ajira inaandikwa na nani?, vitambulisho kwa walimu wapya vitapatikana lini?, slp ya mshahara nayo itatoka mshahara wa kwanza au?, na barua hizo mbili moja yako na ya unayebadilishana nae au mbili kivipi?. MSAADA.
Nipo shinyanga vijijin kutoka shule ilipo kwenda mwanza town ni 4000 na shy town ni 4000, kahama 7000, natafuta mwl. wa kubadilishana kutoka NJOMBE wilaya yoyote idara ni ya MSINGI. SIMU NO; 0764205502 au 0788087771.
Wale wa mikoa ya MWANZA,SHINYANGA, KAGERA na KIGOMA walioko mkoa wa NJOMBE wilaya yoyote ili kuepuka gharama za nauli na kukaa mbali na nyumbani, sogea hapa shinyanga vijijin kutoka shule ilipo nauli kwenda mwanza town ni 4000, shy town 4000 na kahama town 7000. Shule ipo karibu na senta kubwa...
Wanaotaka kwenda shinyanga, shinyanga vijijini kutoka njombe wilaya yoyote idara ya msingi, nataka kwenda NJOMBE, nitafute kwa no.0764205502 au 0788087771.
Idara gani wewe na unatokea mkoa gani? Nipe jibu nikujuze mimi si mwalimu ila nafanyakaz mkoani njombe(mjini), hivyo wilaya zake zote nilshazitembelea kikaz sehemu zote mijini na vijijin. Pia mke wangu amepangiwa shy vjjn idara ya msingi,aliyepangiwa njombe na yuko tayari kwenda shy vjjn
Mimi nina mke wangu mwalimu idara ya msingi kapangiwa wilaya ya shinyanga vijijini hajaripoti bado (ajira mpya 2014), naishi nae njombe mjini!, anaomba kwa yeyote aliyepangiwa mkoa wa njombe wilaya yoyote kama atakuwa tayari kwenda shinyanga, naomba tuwasiliane kupitia 0764205502 au 0788087771
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.