Ndugu,ukisoma maelezo yangu,mimi nimelipia full price nikiwa nahitaji documents zangu zote ili kuepusha usumbufu, kungekua na maelewano mengine wala hata nisingejisumbua kuleta huu uzi humu jf.na mbaya zaidi huyo Sylvester Katambi sijui ndio meneja wao ana mdomo mchafu balaa,hana customer care...
Huwa nanunua kwa jamaa wa auto express, mimi nawawekea tu pesa Bank, wao wenyewe wanapeleka mzigo kwa transporter na risiti pamoja na invoice zinakuwa sealed kwenye bahasha.mzigo unafika salama kabisa.
Waliniambia risiti mpaka pesa ipelekwe Bank ionekane ndio wanaprocess order,na kwa sababu nilikua na haraka na vile jamaa zangu wengine wanafanya nao biashara sikuwa na wasiwasi wowote.
Mimi ni mjasirilismali,nina duka la matairi ya magari huku Mwanza.
Nilielekezwa kwenye hiyo kampuni tajwa hapo juu kuwa wanauza matairi ya jumla,basi nikafunga safari mpaka dar nikawatafuta mpaka ofisini kwao,ofisi zao ziko mikocheni sehemu inaitwa njia panda ya mawaziri.
Nilivyofika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.