Nafikiri jamaa hapo juu ametupa jibu zuri sana. Leo mimi nimebadili aina ya blanketi mwanzoni nilipopanda ilipiga muda mfupi baada ya kutoa blanketi ila usiku haikuwepo kabisa na hata nikiwa na shuka chini nikikanyaga sakafu haipo. Kwa hiyo tatizo ni aina ya sheet na blanketi
Ndugu zangu nimekuwa nikipigwa na shoti kwenye kitanda cha chuma wakati napanda au wakati ninaposhuka chini nikigusa chini kunakuwa na shoti.
Tatizo hili linasababishwa na nini na jinsi gani nitatue?
Msaada naomba wakuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.