Recent content by Massa

  1. Massa

    Kanisa Katoliki, wafu mnaowaombea na walioharibiwa, kuibiwa na kuvunjiwa mali zao, wote ni waumini wenu

    Nimekupata kiongozi kwako wewe uislam kwanza ubinadamu baadae. Uwe na aman na tuwaombee marehemu wote pumziko jema.
  2. Massa

    Kanisa Katoliki, wafu mnaowaombea na walioharibiwa, kuibiwa na kuvunjiwa mali zao, wote ni waumini wenu

    Sio chuki kiongozi vifo vingi vimetokea dar. Na kawaida wakaazi wengi wa dar ni waislam. Sina chuki maana nina ndugu wa damu ni waislam pure. Mke wangu familia yao wote ni waislam. Washikaji zangu wa kusaidiana wakati wa shida na raha ni waislam pure ni classmate waislam wengi tu tunawasiliana...
  3. Massa

    Kanisa Katoliki, wafu mnaowaombea na walioharibiwa, kuibiwa na kuvunjiwa mali zao, wote ni waumini wenu

    Wenye biashara wana bima italipa wala usiwe na Shaka na hilo ata mwendokasi zote wana bima. Na waliouawa wengi tu ni waislam akiwemo sheikh majini. Nae alikua kibaka? Sio vizuri hivyo kiongozi acha wakatoliki wawaombee ata kibaka anasitahili kuombewa.
  4. Massa

    Walioshinda nafasi za ubunge 2025

    Huyo bwege kavaa Jezi ya wananchi bana kumbe ana roho ya shetani. Mabalaa yamkute yeye na familia yake na kizazi cha 10 kwake
  5. Massa

    JWTZ, Wakamateni Mwenyekiti na Mkurugenzi na Makamishna wote wa Tume ya Uchaguzi. Msiwasahau Mafwele, Murilo na Ma RPC wote

    Mwendawazimu wewe kila atakae pinga hoja zako za jw basi amekua fisadi au mnufaika wa mfumo. Wakati wa Dp world uliongwa ukawa unashinda hapa kuwatetea. Uko kama mwanamke wa bar huna msimamo na huna ulijualo. Kama ni hao jeshi si wampindue sasa kwa nini wanataka wananchi ndo wawafanyie hiyo...
  6. Massa

    JWTZ, Wakamateni Mwenyekiti na Mkurugenzi na Makamishna wote wa Tume ya Uchaguzi. Msiwasahau Mafwele, Murilo na Ma RPC wote

    Wewe jamaa unachosha sasa na hiyo jwtz. Watanzania tunataka mabadiliko ndio lakini tunaitaji uongozi wa kiraia. Hao jwtz wabaki na kazi yao wanayoijua. Alafu ebu toka nje na wewe utume japo picha ya eneo ulipo na waandamanaji sio kila mara uko jf utazani una ubia na max. Ulimchukia JPM kwa...
  7. Massa

    Humphrey Polepole atekwa usiku wa kuamkia leo Oktoba 6

    Angekufila kabisa maana huna maana yoyote
  8. Massa

    Kama Magufuli alitathmini na kuona kuwa Samia anafaa kuwa makamu wake, wewe Polepole unasemaje CCM ilikosea kufanya endorsement yake?

    Lini umeanza kuwapenda wagalatia hadi umsifie mabeyo? Ustadhi acha hizo bana wagalatia kwako hawajawahi kua wema
  9. Massa

    Kung'atuka siasani kwa Dr. Philip Mpango na Kassim Majaliwa Majaliwa wasaidizi wakuu wa Rais Samia, nini nyuma ya pazia ?

    Okay tufanye Umeshinda majaliwa ni muongo muongo. Ila wakati mwingine uwe unafikilia nje ya uongo wake hakuna wanaosababisha atoe taharifa za uongo?
  10. Massa

    Kung'atuka siasani kwa Dr. Philip Mpango na Kassim Majaliwa Majaliwa wasaidizi wakuu wa Rais Samia, nini nyuma ya pazia ?

    Kiranga Mbona unapenda kukuza mambo? Watu wamestahajabiswa na kauli za majaliwa na ndo wanahoji kuna nini nyuma ya pazia? Kauli mbili tofauti ndani ya muda mfupi. Inawezekana alitaka tu kuendelea na ubunge. Suala la yeye kua pm ni uhamuzi wa mteuaji.
  11. Massa

    Jumanne Muliro: Askofu Gwajima akitaka, akate rufaa (rufaa inakatwa kwa Waziri Bashungwa)

    Kwahiyo kosa ni la taasisi au? Na nikosa gani ililofanya hiyo taasisi? Au kosa ni la mtu? Je kuna onya taasisi ilipewa kama sheria inavyotaka?
  12. Massa

    Jumanne Muliro: Askofu Gwajima akitaka, akate rufaa (rufaa inakatwa kwa Waziri Bashungwa)

    Sawa gwajima ni mzinzi na muongo kwa uelewa wako. Je ni sahihi kufungia kanisa zima lenye wahumini zaidi ya milioni kwa kosa la gwajiboy?
  13. Massa

    Samaki hana ujanja ukimtoa ndani ya maji, hongera serikali kwa kumtupa samaki Gwajima nchi kavu,tuone sasa ngebe zake zitafanyikia wapi?

    wewe big show uko tayari kutoa hilo tako lako kubwa kama mamlaka inayokuongoza ilikitaka au utatunisha misuli kulinda heshima yako? Point ni kua sio kila isemacho au ifanyacho hiyo mamlaka ni sahihi kwa hiyo wakubali kukosolewa wapokua hawako sahihi
  14. Massa

    Picha ya siku

    Nje ya mada wakuu. Hivi aliyekua waziri wa ujenzi wa mwisho wa JPM ndugu chamuliro yupo wapi? Aliondolewa na ubunge pia au?
  15. Massa

    PreGE2025 Tunamhujumu Rais wetu kwa faida ya nani?

    Kwanza ujue yeye ni member wa mange app.
Back
Top Bottom