Nipo hospital ya muhimbili wodi ya watoto nimekuja kumuangalia mtoto wa dada angu amelazwa hapa nakuta asubuhi wamelala bila chandarua nauliza vp hakuna chandarua yeye aliuliza akajibiwa kuwa jana maji hayakutoka hivyo walishindwa kufua vyandarua vya wodini sababu hakuna maji hizo shuka...
Habari wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza nimekuwa na ndoto tangu zamani kuja kutafuta maisha visiwani hususani unguja nimepata milioni mbili sasa nahitaji wajuzi wa visiwa hivi wanijuze kipi ninachopaswa kutimiza ili kuwekeza kwa kiasi nilichopata kwa biashara yoyote ambayo naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.