Recent content by Mask Kacoast

  1. M

    JamiiForums Tanzania Anachofanya Rais Magufuli sasa ni uchonganishi kati ya wananchi na Kikwete

    Umesomeka,Hongera kwa kuliona hlo,kweli huyu Rais wa sasa anataka kutufarakanisha na Mh, Rahisi wetu Mcheshi na kipenzi wa kila mmoja.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Picha: Mpambe wa Rais akiingia bungeni na bahasha yenye jina la Waziri mkuu mteule

    Ki utendaji suala la uteuzi hua siri kubwa sana,taarifa alipewa lakini ni kipindi kifupi sana kabla ya bahasha kufika kwa spika. Inafanyika hvyo ili Mh ajiridhishe kama maamuzi yake mhusika anayapokea.
  3. M

    JamiiForums Tanzania NEC yamuonya Nape kuhusu 'Goli la mkono'

    Kwa utaratibu huu yaonekana Jaji Lubuva anaongozwa(akili tegemezi)alikua wapi kukemea kauli hyo cku zote? au anafikiri watanzania bado tu wavivu kupambanua mambo? kwa taarifa yake mwaka huu mchele una chuya.
Back
Top Bottom