Hivi ni lini wasomi wa Tanzania watathaminiwa? Kwanza, wanapata elimu kwa shida na taabu.Pili, wakimaliza masomo yao wanahangaika kupata kazi.Tatu,wakipata kazi mshahara ni kama mkia wa mbuzi.Mambo haya ni mpaka lini wajemeni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.