Recent content by mashauri

  1. M

    JamiiForums Tanzania Serikali yawatelekeza wanafunzi 29 Ukraine

    Hivi ni lini wasomi wa Tanzania watathaminiwa? Kwanza, wanapata elimu kwa shida na taabu.Pili, wakimaliza masomo yao wanahangaika kupata kazi.Tatu,wakipata kazi mshahara ni kama mkia wa mbuzi.Mambo haya ni mpaka lini wajemeni?
Back
Top Bottom