sijui kama ni ya kitoto ningeisema hapa ema humu kuna watu wengi watanijua na huwa wanaona ndoa yetu ni mfano hata marafiki wa mke wangu huwa wanatusifia sana
mkuu umetumia muktadha upi kuona nmedanganya? napata faida gani kudanganya ungejua siku nzima ya leo hadi naleta tatizo hili kwa ID mpya ni kwa sababu linanitafuna sana
asante mkuu kwa ushauri, huu ni ukweli mchungu natakiwa kuumeza mimi bila kushauriwa na mtu kesho natoka hapa nyumbani nitakuwa natoa huduma za mtoto tuu ndoa imeshanishinda hii
asante mkuu nmefikiria kuondoka mimi sababu tunaishi nyumba ya kupanga kuna kiwanja nilinunua kwa ajili ya ujenzi ila nmeishia kumwaga tofali tu kwanza
nilimuuliza kesho yake tukiwa tumetulia na mimi nmpoa na hasira kuhusu hili swala akajiona yuko sawa still, leo nmeshinda nalo linanitafuna sana moyoni nmeamua kuja kulitema huku
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.
Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.