Asante sana nimeisoma hiyo hotuba
lakini maswali hakuyaruhusu huenda ikiwa kwamba mkuu ameogopa
maswali hayo nayo makubwa.
ila sasa hao wajamaa wanalipiwa madeni yao
hasa hao wa pamba serikali haioni kuwa itaingia mkenge
kwa wao kuonunua pamba ya wananchi
kwa kuwa kama kuna pamba nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.