Huko Bunge
Hivi ni shule Gani inafundisha Mbunge kuwasilisha matatizo mbele ya Rais ni utovu wa nidham tuna Nchi ya hovyo kabisa na watu wa hovyo kama ninyi.
Wana jamii forums hash tag ya No reforms no election imetibua Hali ya hewa wanufaika wa keki ya Taifa wameanza kutoa milio eti ni upuuzi,kanyagieni hapo hapo,Kila comment ya machawa tia Neno no reforms no election,twende sasa.
Zamani kupanda cheo ilikuwa lazima uwe na vigezo,Sasa hivi watendaji wote lazima uwe pro Chawa ndiyo utakula mema ya Nchi,ukishupaza shingo tu utakula jeuri yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.