Nape na knana wamefanya kaz kubwa ila wanaangushwa na viongoz wasiowaadirif,kauri chaf(mtapigwa tu nk),mafisadi na wanaotafakar kwa tumbo waliomo ndani ya ccm
Hatua zichukuliwe kwa waloratibu vurugu hizo sio kupeleka mambo hovyohovyo na kusubiri yatokee yalompata warioba ndo waoneshe kufadhaishwa,huu ni unafiki
Hiyo taasisi iko sawa kwan haiingii akirin wajumbe hao wa Bunge maalumu kdai posho ya Tsh 300000/day haitoshi wakat mie raia wa kawaida hapa dodoma hyo ndo pato langu kwa mwaka.Anaeona posho haitoshi aende akafanye kaz inayompatia pesa nyng zaidi.
Hiyo taasisi iko sawa kwan haiingii akirin wajumbe hao wa Bunge maalumu kdai posho ya Tsh 300000/day haitoshi wakat mie raia wa kawaida hapa dodoma hyo ndo pato langu kwa mwaka.Anaeona posho haitoshi aende akafanye kaz inayompatia pesa nyng zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.