Hii nimeandika kutokana na kuwa nilimshuhudia rafik yangu...ananunua bando ili aangalie vtu ambavyo sio vya msingi hata kwenye mitandao ya kijamii....lakini baadae ananizima hela ajipatie mahitaji ya msingi kabisa...nilipo fanya utafiti nikagundua sio yeye pekee...bali wengi wetu tume be...
Maana yake ni kwamba...mshinda tuzo mahakamani yaani mtua aliyeshinda kesi ya madai...ule ushindi wake unachukuliwa kama mali...akitokea mtu mwingine ameshinda kesi nyingine dhidi ya yule aliyeshinda Kesi....ule ushindi unaweza kushikiliwa kama mali na kile kiasi cha mali kwenye ule ushindi...
1.0 Utangulizi
1.1 Mitandao ya kijamii imekua ni sehemu inayo wakutanisha watu kutoka pande mbalimbali za dunia, mitandao hii imeiminya dunia na kifanya ndogo kama kijiji kimoja. Kile kijiji ambacho taarifa husambaa mithili ya upepo wa kipupwe na kumfikia kila mwenye hamu ya kusikia.
Mitandao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.