Recent content by Martisisy

  1. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kuna mdau anaetumia humu Savanna Fibre aseme kama wao unaweza kubadili jina la WiFi na Password au na wao ni kama TTCL tu...
  2. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Mimi nimeona Speed imeshuka, nikapiga simu huduma kwa wateja wakaniambia watanirudia lkn moaka leo kimya, kumbe jamaa wana data cap... Ngoja niamie savanna tu.
  3. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Naungana na huyo jamaa ako anaesema hivyo....
  4. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    NA kweli kuna mtu nilinunua nae router ya Airtel na mpaka leo bado anaitumia yake na anasema haina shida yoyote....
  5. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Pole sana Mkuu ila kama TTCL utaipata wako poa sana na speed yao iko vizuri tatizo lao ni kuingia kwenye IP Adress tu...
  6. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hahahahaaaa
  7. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Speed yao iko poa sana.
  8. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Niwe tu mw Niwe tu Mkweli Hii Speed ya TTCL Ni Fire aiseee... Kwa Mara ya Kwanza nimeweza kutumia Gb 200+ per day. Vodacom kipindi cha Nyuma ndio nilikuwaga natumia mpaka GB 100 per day ila siku hizi nilikuwa nikifika Gb 60 ni mara chache sana.
  9. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nimefuata Ushauri Wako Nimecheki na mtu flani kaniambia watanifungulia niwe naweza kuingia Kupitia Ip Address.
  10. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Watanipa Access ya kuingia kwenye Ip Address?
  11. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Leo TTCL wamekuja kunifungia Fibre yao, ila nimeshanagaa kwamba Password ya Router wao ndio wanaweza kuniadilishia na sio mimi , pia ata jina la WiFi siwezi kubadilisha mpaka wao, Na kibaya zaidi siwezi kuingia kwenye Ip Address🤦🏾‍♂️ kiukweli nimechoka kabisa...
  12. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kuna mtu amenipa namba za Mawakala wao nimempigia ameniambia ni kweli wanatoa Router ya 5G kwa 100k wanakupa offer ya 30Mbps kwa mwezi alafu mwezi unaofuata utaanza kulipa hizo 30Mbps kwa 70k mwezi.
  13. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwa sasa ninatumia Router ya Vodacom kuna mtu aliniungia napata 30Mbps kwa 90k ila kwa hiyo Offer ya TTCL Nimeshawishika kuhamika huko na ntakuwa nalipia Package ya 100k kwa mwezi.
  14. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nimewapigia watu wa TTCL Wameniambia Jumanne watakuja kujifungia ila nilipienKifurushi cha 100k Maana Fibre yao imepita katika eneo langu la kazi. Pia kwa maravya kwanza nimeshawishika kuanza biashara ya Kuuza Internet...
  15. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Airtel miyeyusho sana niliinunua kwa mbwembwe nikatumia wiki moja nikawa nimemaliza 1Tb speed ikashuka nikaanza kupiga simu ndio nikaja kuambiwa kuwa wana data cap nikachoka kabosa😁😁😁
Back
Top Bottom