Recent content by Martisisy

  1. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Speed yao iko poa sana.
  2. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Niwe tu mw Niwe tu Mkweli Hii Speed ya TTCL Ni Fire aiseee... Kwa Mara ya Kwanza nimeweza kutumia Gb 200+ per day. Vodacom kipindi cha Nyuma ndio nilikuwaga natumia mpaka GB 100 per day ila siku hizi nilikuwa nikifika Gb 60 ni mara chache sana.
  3. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nimefuata Ushauri Wako Nimecheki na mtu flani kaniambia watanifungulia niwe naweza kuingia Kupitia Ip Address.
  4. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Watanipa Access ya kuingia kwenye Ip Address?
  5. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Leo TTCL wamekuja kunifungia Fibre yao, ila nimeshanagaa kwamba Password ya Router wao ndio wanaweza kuniadilishia na sio mimi , pia ata jina la WiFi siwezi kubadilisha mpaka wao, Na kibaya zaidi siwezi kuingia kwenye Ip Address🤦🏾‍♂️ kiukweli nimechoka kabisa...
  6. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kuna mtu amenipa namba za Mawakala wao nimempigia ameniambia ni kweli wanatoa Router ya 5G kwa 100k wanakupa offer ya 30Mbps kwa mwezi alafu mwezi unaofuata utaanza kulipa hizo 30Mbps kwa 70k mwezi.
  7. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwa sasa ninatumia Router ya Vodacom kuna mtu aliniungia napata 30Mbps kwa 90k ila kwa hiyo Offer ya TTCL Nimeshawishika kuhamika huko na ntakuwa nalipia Package ya 100k kwa mwezi.
  8. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Nimewapigia watu wa TTCL Wameniambia Jumanne watakuja kujifungia ila nilipienKifurushi cha 100k Maana Fibre yao imepita katika eneo langu la kazi. Pia kwa maravya kwanza nimeshawishika kuanza biashara ya Kuuza Internet...
  9. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Airtel miyeyusho sana niliinunua kwa mbwembwe nikatumia wiki moja nikawa nimemaliza 1Tb speed ikashuka nikaanza kupiga simu ndio nikaja kuambiwa kuwa wana data cap nikachoka kabosa😁😁😁
  10. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Hiyo ya Halotel hakuna ambae ameitumia ili aniambie Speed yake ipoje nisije nikaingia mkenge kama Airtel kipindi kile😁
  11. Martisisy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Kama Kuna Kitu Hupaswi Kukiamini Katika Hii Dunia Basi Ni Mwanamke😁😁😁 Wake Za Watu Ni Janga Jingine Tena...
  12. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Leo Asubuhi Wkati Naenda Church Nimekutana Na Hizo Nyaya Hapo Na Hiyo Logo Pamoja na Jina La Savanna, Nadhani Ndio Hao Hao Savanna Wenye Fibre...
  13. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Wangapi mmeishanunua hii Router ya Halotel mlete mrejesho hapa kama ziko poa na speed yake ni nzuri au ndio tia maji tia maji kama Airtel... Hapo naona wanaanza kuuza kwa bei ya 130k alafu baada ya hapo package utakuwa unalipia 70k kwa 30Mbps...
  14. Martisisy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mwaka 2026 ni Mwaka wa kula Kimasihara, Vijana leteni Story...😁😁😁
  15. Martisisy

    JamiiForums Tanzania Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwa sasa nina hizi Router za Vodacom zote mbili, Moja ikiwa ni ya Ofisini na nyingine ni ya Nyumbani... Uwa nazijaribu kwenye Speed test ila hii ya Zamani iko juu kwenye speed na haikatikati mtandao kama hii mpya, Mpaka najiuliza kwanini Voda walizileta hizi mpya...
Back
Top Bottom