Ndugu zangu habari za Jumatatu, nawasalim.
Mimi na mke wangu tumebahatika kupata watoto wawili kwenye ndoa yetu yenye miaka nane. Sisi wote ni waajiriwa, kwa muda mrefu, nimekuwa nikijiuliza mtoto wangu wa pili amefanana na nani, maana hafanani na mama yake wala hafanani na mimi na wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.