Recent content by martin luther king j

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kumekuwepo na kautaratibu ka kubakiza wanafunzi shuleni nyakati za likizo hasa April, June na Septemba

    Kumekuwepo na kautaratibu ka kubakiza wanafunzi shuleni nyakati za likizo hasa april,june na septemba kwa madarasa ya mitihani mfano darasa la nne,saba,kidato cha pili ,nne na sita .Naomba kujua imeruhusiwa kisheria kama ndiyo mbona hatuoni barua inaelekeza hilo ? Majibu tafadhari
Back
Top Bottom