Recent content by Marsham

  1. M

    Joyce Kiria na akaunti yake ya Facebook

    Acha dharau sababu kusoma sana sio kipimo cha busara
  2. M

    Joyce Kiria punguza sifa

    Watu kwa kujifanya wanawajua chimbuko la familia za wenzao. Hebu tuambie mama yako alikuwa nani kwa baba yako
  3. M

    Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

    Ikitokea issue ya Mange, povu linakutoka duu
  4. M

    Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

    Ulikuwepo eneo la tukio, au ndio wote tuseme mana humu JF wote wajuaji kisha hamjioni kazi kusema ya wenzenu ya kwenu mmeyakalia. Mume wa Shamim ni drug Lord na anajulikana ht kwenye list ya majina waliotajwa na wafungwa wa China ametajwa. Sababu wabongo mmezoea kusifia ujinga na hamtaki...
  5. M

    Mtoto wa Mange Kimambi (13yrs) kuanza biashara kwa lazima ili kusevu pesa kwa ajili ya elimu ya juu

    Naona unazunguka na majibu unayo. Hata km Mange ana hela, haimaanishi mtoto wake asifanye biashara km opportunity ipo. Mbona Ridhwani Kikwete kagombea ubunge na baba yake ni Rais. Nyie wanawake wa JF mna CHUKI BINAFSI
  6. M

    Mtoto wa Mange Kimambi (13yrs) kuanza biashara kwa lazima ili kusevu pesa kwa ajili ya elimu ya juu

    Mbona ni kawaida sana kwa watoto wa ma celebrities kufanya either biashara au kufanya kazi. Will Smith ni actor mkubwa sana angalia watoto wake. Yule wa kiume, Jade akiw chini ya miaka 10 ameanza ku act. Alikuwa na ulazima gani kufanya kazi. Na yule wakike ameanza kuimba skiwa 13, anaingiza hela...
Back
Top Bottom