Recent content by Marshall2

  1. M

    Hivi ndivyo Katiba ya CHADEMA inavyosema kuhusu Wabunge wake kuchangia chama

    Hapa hutawaona mkuu, hatari sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Ofisi ya Bunge imekanusha kuwa Spika Job Ndugai hajaandika barua inayotoa wito kwa CAG, Prof. Mussa Assad kujiuzulu ama kujieleza

    Asante kwa kunisaidia kumjibu huyu roboti, aende shule kwanza. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Ofisi ya Bunge imekanusha kuwa Spika Job Ndugai hajaandika barua inayotoa wito kwa CAG, Prof. Mussa Assad kujiuzulu ama kujieleza

    Hiyo barua iko wazi Mkuu, hakuna kanusho lolote kwenye aya ya mwisho kwenye maneno uliyoyazungushia, huwa watu wanaamua kukaa kimya tu na mnaona mnaotukana kila uchao ndo wengi ila mjue tupo tunaosoma na kupuuza tu, sasa kama hata hilo ambalo liko wazi kabisa umeamua kupotosha si wote tunaweza...
  4. M

    Ofisi ya Bunge imekanusha kuwa Spika Job Ndugai hajaandika barua inayotoa wito kwa CAG, Prof. Mussa Assad kujiuzulu ama kujieleza

    Huna hata aibu mkuu, we ndo kilaza kwa hili, barua inakanusha spika kuandika barua. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. M

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Wema!!?? wema kwa mwanasheria ambaye anajua nje ya mipaka Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ndiye nembo ya Taifa hivyo kumdhihaki ni kulidhihaki Taifa?!!! yajayo yanafurahisha. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. M

    Tundu Lissu: Kama risasi 16 za 'watu wasiojulikana' waliotumwa kuniua hazikuninyamazisha, kuninyang'anya mshahara hakutaweza kuninyamazisha

    Watanzania hatuwezi fanya ujinga huo, mtu alopigania nchi inyimwe misaada ambayo ingetumika kuboresha ustawi wa jamii leo analilia mshahara ambao wala hauvujii jasho!!? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Tundu Lissu: Kama risasi 16 za 'watu wasiojulikana' waliotumwa kuniua hazikuninyamazisha, kuninyang'anya mshahara hakutaweza kuninyamazisha

    Itikadi ni siri? kama unajua huwezi jua unaupata wapi ujasiri wa kuwasemea watanzania wote? taa.hira kweli jamaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. M

    Tundu Lissu: Kama risasi 16 za 'watu wasiojulikana' waliotumwa kuniua hazikuninyamazisha, kuninyang'anya mshahara hakutaweza kuninyamazisha

    Hili jamaa bhana, na bado likiingia nchini lishughulikiwe, apigwe kesi ya utovu wa uaminifu ambayo itamzuia hata kugombea huo urais wa viwete wenzie. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Tundu Lissu: Kama risasi 16 za 'watu wasiojulikana' waliotumwa kuniua hazikuninyamazisha, kuninyang'anya mshahara hakutaweza kuninyamazisha

    Hahaha..mnafanya kuchangia? mama yangu sio lesbian aisee, mpatie mmeo vumbi la kongo akulidhishe. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. M

    Tundu Lissu: Kama risasi 16 za 'watu wasiojulikana' waliotumwa kuniua hazikuninyamazisha, kuninyang'anya mshahara hakutaweza kuninyamazisha

    Mama angu hawezi fanya ujinga huo na kanithibitishia hatochangia upuuzi. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. M

    Tundu Lissu: Kama risasi 16 za 'watu wasiojulikana' waliotumwa kuniua hazikuninyamazisha, kuninyang'anya mshahara hakutaweza kuninyamazisha

    Hasira zote hizo pelekea alozuia KY, naona washakuchubua, situmii hiyo bidhaa yako aisee peleka kwingine. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    Tundu Lissu: Kama risasi 16 za 'watu wasiojulikana' waliotumwa kuniua hazikuninyamazisha, kuninyang'anya mshahara hakutaweza kuninyamazisha

    Upuuzi mtupu, wewe na mme wako ndo watanzania sio? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Tundu Lissu: Kama risasi 16 za 'watu wasiojulikana' waliotumwa kuniua hazikuninyamazisha, kuninyang'anya mshahara hakutaweza kuninyamazisha

    Rais wa chama cha walemavu nadhani, kachota pesa ya umma bila kuifanyia kazi, mashitaka ya utovu wa uaminifu yanamuhusu na kwa mujibu wa katiba hataruhusiwa kugombea. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom