Habari za wanaforum hii..nahitaji kupata mwanamke wa kupanga nae maisha.. profile yangu kwa ufupi...Age ni 31yrs' nimejiajiri Mwenyewe. Na nina kibanda changu pia hapa mjin.
Sifa za huyu Mwanadada ni.
Awe msafi wa Asili nje na ndan.
Awe na elimu ya A'level+
Asiwe na mtoto.
**Awe tiar kupima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.